Kanisa Tanzania ni CCM?

Ukweli Mchungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani tupoteze muda wetu kuwaombea akina tundulisu na mbowe? Si bora muda huo ningeenda kuangalia mapilau
 
Maaskofu na Wachungaji wa Tanzania ni wanagiki, waoga na wenye tabia ya kujipendekeza kwa serikali. Wanaogopa kuikosoa, wanasifu viongozi daima. Mimi ni mkristo pia. Tabia hii inanikera kwa kuwa inaambukiza watu wengi hasa wa vijijini na wanawake wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askofu Msaidizi wa Kanisa Anglikana Dayosisi ya Katanga katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Elisha Tendwa amesema baadhi ya Watanzania ambao wamekuwa wakitoa malalamiko juu ya utawala wa Rais John Magufuli siku moja wangefika Congo wasingethubutu kutoa lawama hizo.

Amesema kuwa ni vema kabla ya watu kutoa lawama kwa Serikali juu ya mambo mbalimbali ni vema wakalinganisha na kufanya tathmini juu ya hali ilivyo kwa nchi nyingine ikiwemo nchi ya DRC.

Kwa Hisani ya Majs aliyelileta hili bandiko JF
 
Piga picha Lissu angekuwa ni Mbunge toka CCM! Leo Maaskofu wangetoa matamko huku kofia zao zikiwa mikononi!
 

Pole.90%Ya viongozi wa Dino zote ni wanachama hai wa CCM.

Naona hata Mungu wanaomuabudu hawa watu anakadi ya CCM, siku watakapokuja viongozi wa Dino wenye Mungu asiye na Chama tuyaona tofauti yake.

Hawa hukimbilia kusema Chaguo la Mungu anapoharibu hukaa kimya kama wamemwagiwa Maji baridi.
 
Siasa zipi maombi sio siasa.

Ni kweli Maombi siyo SIASA pale yanapokuwa hapo upande wa CCM. Yanapokuwa upande wa pili ni SIASA.

Hongera Mwanachama wa Chama Cha Mauaji
 
Siasa na dini ni njia za kummiliki, kumtawala na kumtumikisha mlalahoi. Jasho la mlalahoi huliwa kwa njia nyingi zilizohalalishwa kwa namna moja au nyingine.
Hata hivyo, hali huwa mbaya zaidi vitu hivyo vinapoungana moja kwa moja.
 
ulichoandika hakina tofauti na yule mtu anaekwenda kuomba kanisani kusamehewa dhambi na wakati huohuo anasema kwmaba,eti yesu alichukua dhambi zake pale msalabani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…