kwa kutoa email na namba ya simu nahisi kama unataka kuri-promote hilo kanisa kwa kujipatia followers toka JF.nothing new just busness as usual.:madgrin:Ni kanisa la full gospel bible felowship{FGBF-CHURCH} ni jaribio lakuchoma moto jengo la ibada,ambalo limeshindwa kwa mara ya tatu sasa.mara ya kwanza ilikuwa mwanzoni mwa april 2012,mara ya pili ilikuwa may 26-2012,mara ya tatu ilikuwa may 29-2012 matukio yote yakifanyika usiku.inadaiwa mtu anatumwa na wasabato.sababu eti mafundisho ya kanisa hilo yanapotosha kwakufundisha kinyume na usabato,na maombezi ya miujiza inayofanyika kanisani hapo.tunashukuru kwa Mungu wa miujiza amezidi kuuzima moto kila walipouwasha.
Habari zaidi wasiliana na : pastorngumba@live.co.uk
au 0756847424
au uliza police nyamongo. Samahani nimeshindwa kuingiza picha.
Ni kanisa la full gospel bible felowship{FGBF-CHURCH} ni jaribio lakuchoma moto jengo la ibada,ambalo limeshindwa kwa mara ya tatu sasa.mara ya kwanza ilikuwa mwanzoni mwa april 2012,mara ya pili ilikuwa may 26-2012,mara ya tatu ilikuwa may 29-2012 matukio yote yakifanyika usiku.inadaiwa mtu anatumwa na wasabato.sababu eti mafundisho ya kanisa hilo yanapotosha kwakufundisha kinyume na usabato,na maombezi ya miujiza inayofanyika kanisani hapo.tunashukuru kwa Mungu wa miujiza amezidi kuuzima moto kila walipouwasha.
Habari zaidi wasiliana na : pastorngumba@live.co.uk
au 0756847424
au uliza police nyamongo. Samahani nimeshindwa kuingiza picha.
Kwa nini hakuzuia lisichomwe in the first place, anasubiri wachome ndio azime, yeye zima moto? Na mbona hakuzuia ya Zanzibar yasichomwe?tunashukuru kwa Mungu wa miujiza amezidi kuuzima moto kila walipouwasha.
Full gospel???? sasa hili ni kanisa au ukumbi wa disko? dini zingine bwana za kishe....... hakuna mbaya sababu waloilichma ni walewale, wacha wafu wazike wafu wao.
Ni kanisa la full gospel bible felowship{FGBF-CHURCH} ni jaribio lakuchoma moto jengo la ibada,ambalo limeshindwa kwa mara ya tatu sasa.mara ya kwanza ilikuwa mwanzoni mwa april 2012,mara ya pili ilikuwa may 26-2012,mara ya tatu ilikuwa may 29-2012 matukio yote yakifanyika usiku.inadaiwa mtu anatumwa na wasabato.sababu eti mafundisho ya kanisa hilo yanapotosha kwakufundisha kinyume na usabato,na maombezi ya miujiza inayofanyika kanisani hapo.tunashukuru kwa Mungu wa miujiza amezidi kuuzima moto kila walipouwasha.
Habari zaidi wasiliana na : pastorngumba@live.co.uk
au 0756847424
au uliza police nyamongo. Samahani nimeshindwa kuingiza picha.
Full gospel???? sasa hili ni kanisa au ukumbi wa disko? dini zingine bwana za kishe....... hakuna mbaya sababu waloilichma ni walewale, wacha wafu wazike wafu wao.
Ni kanisa la full gospel bible felowship{FGBF-CHURCH} ni jaribio lakuchoma moto jengo la ibada,ambalo limeshindwa kwa mara ya tatu sasa.mara ya kwanza ilikuwa mwanzoni mwa april 2012,mara ya pili ilikuwa may 26-2012,mara ya tatu ilikuwa may 29-2012 matukio yote yakifanyika usiku.inadaiwa mtu anatumwa na wasabato.sababu eti mafundisho ya kanisa hilo yanapotosha kwakufundisha kinyume na usabato,na maombezi ya miujiza inayofanyika kanisani hapo.tunashukuru kwa Mungu wa miujiza amezidi kuuzima moto kila walipouwasha.
Habari zaidi wasiliana na : pastorngumba@live.co.uk
au 0756847424
au uliza police nyamongo. Samahani nimeshindwa kuingiza picha.