Hatibu Mintanga
Member
- May 28, 2012
- 13
- 3
na hao pia UAMSHO? au mtakubal kwamba wahun
ni kanisa la full gospel bible felowship{fgbf-church} ni jaribio lakuchoma moto jengo la ibada,ambalo limeshindwa kwa mara ya tatu sasa.mara ya kwanza ilikuwa mwanzoni mwa april 2012,mara ya pili ilikuwa may 26-2012,mara ya tatu ilikuwa may 29-2012 matukio yote yakifanyika usiku.inadaiwa mtu anatumwa na wasabato.sababu eti mafundisho ya kanisa hilo yanapotosha kwakufundisha kinyume na usabato,na maombezi ya miujiza inayofanyika kanisani hapo.tunashukuru kwa mungu wa miujiza amezidi kuuzima moto kila walipouwasha.
Habari zaidi wasiliana na : pastorngumba@live.co.uk
au 0756847424
au uliza police nyamongo. Samahani nimeshindwa kuingiza picha.
Utakua umeathirika na utamaduni na dini za wageni. Jitambue.hii haitofanywa issue kwa kuwa waliochoma ni....
lakini kule zanzibar aaaah, watu kwa chuki we acha
Kwa nini hakuzuia lisichomwe in the first place, anasubiri wachome ndio azime, yeye zima moto? Na mbona hakuzuia ya Zanzibar yasichomwe?