Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,234
- 4,761
Wadau hamjamboni nyote?
Msako wa wanaopinga fundisho la utatu yaani Mungu mmoja ndani ya watatu unaendelea kwa kasi ndani ya kanisa la Wasabato
Hivi majuzi mchungaji mmoja huko Ethiopia ametumbuliwa rasmi kwa kuvuliwa wadhifa wake wa kiroho hii ni baada ya kupinga kuwa Mungu Yu mmoja ndani ya watatu.
Kwa mujibu wa kanisa la SDA wanaamini kuwa Kuna MUNGU MMOJA : BABA, MWANA, na ROHO MTAKATIFU , Umoja wa NAFSI 3 za milele.
Nimeambatanisha nakala ya barua husika kwa rejea yenu.
Karibuni kwa maoni Je Mungu ni mmoja kwa maana ya SINGLE au Mungu ni mmoja kwa maana ya WATATU?
Fahamu Fundisho Utatu MTAKATIFU kwa ufupi:
Doctrine of the Trinity defines one God existing in three Coequal, Coeternal, Consubstantial divine persons, God the Father, God the Son (Jesus Christ) and God the Holy Spirit, three distinct persons (hypostases) sharing one essence/substance/nature (homoousion).
Fundisho la Utatu linafafanua Mungu mmoja aliyeko katika nafsi tatu za Uwiano, Milele, Miungu ya Kiunganishi, Mungu Baba, Mungu Mwana (Yesu Kristo) na Mungu Roho Mtakatifu, nafsi tatu tofauti (hypostases) zinazoshiriki kiini/kitu/asili moja (homoousion).
Mchoro unaoelezea fundisho la Utatu
A compact diagram of the Trinity, known as the "Shield of Trinity". The Shield is not generally intended to be a schematic diagram of the structure of God, but it presents a series of statements about the correlation between the persons of the Trinity.
Msako wa wanaopinga fundisho la utatu yaani Mungu mmoja ndani ya watatu unaendelea kwa kasi ndani ya kanisa la Wasabato
Hivi majuzi mchungaji mmoja huko Ethiopia ametumbuliwa rasmi kwa kuvuliwa wadhifa wake wa kiroho hii ni baada ya kupinga kuwa Mungu Yu mmoja ndani ya watatu.
Kwa mujibu wa kanisa la SDA wanaamini kuwa Kuna MUNGU MMOJA : BABA, MWANA, na ROHO MTAKATIFU , Umoja wa NAFSI 3 za milele.
Nimeambatanisha nakala ya barua husika kwa rejea yenu.
Karibuni kwa maoni Je Mungu ni mmoja kwa maana ya SINGLE au Mungu ni mmoja kwa maana ya WATATU?
Fahamu Fundisho Utatu MTAKATIFU kwa ufupi:
Doctrine of the Trinity defines one God existing in three Coequal, Coeternal, Consubstantial divine persons, God the Father, God the Son (Jesus Christ) and God the Holy Spirit, three distinct persons (hypostases) sharing one essence/substance/nature (homoousion).
Fundisho la Utatu linafafanua Mungu mmoja aliyeko katika nafsi tatu za Uwiano, Milele, Miungu ya Kiunganishi, Mungu Baba, Mungu Mwana (Yesu Kristo) na Mungu Roho Mtakatifu, nafsi tatu tofauti (hypostases) zinazoshiriki kiini/kitu/asili moja (homoousion).
Mchoro unaoelezea fundisho la Utatu
A compact diagram of the Trinity, known as the "Shield of Trinity". The Shield is not generally intended to be a schematic diagram of the structure of God, but it presents a series of statements about the correlation between the persons of the Trinity.