3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 4,918
- 13,792
Kama amekana fundisho la kanisa ni haki kumuondoa maana haamini tena kwa hiyo siyo ajabu
Kama kweli Mungu anaweza yote, kwanin ASHINDWE KUWA KATIKA NAFSI TATU NA ZAIDI??Wadau hamjamboni nyote?
Msako wa wanaopinga fundisho la utatu yaani Mungu mmoja ndani ya watatu unaendelea kwa kasi ndani ya kanisa la Wasabato
Hivi majuzi mchungaji mmoja huko Ethiopia ametumbuliwa rasmi kwa kuvuliwa wadhifa wake wa kiroho hii ni baada ya kupinga kuwa Mungu Yu mmoja ndani ya watatu.
Kwa mujibu wa kanisa la SDA wanaamini kuwa Kuna MUNGU MMOJA : BABA, MWANA, na ROHO MTAKATIFU , Umoja wa NAFSI 3 za milele.
Nimeambatanisha nakala ya barua husika kwa rejea yenu.
Karibuni kwa maoni Je Mungu ni mmoja kwa maana ya SINGLE au Mungu ni mmoja kwa maana ya WATATU?
Noma sana!Unaitwa utatu mtakatifu, the holy trinity, Mungu baba, Mungu mwana Roho mtakatifu. Ukiwa na mmojawapo hapo unavyo vyote. Ni kitu kimoja ndani ya nafsi moja
Yes, Katoliki mkubwa na Sabato mdogo.Kumbe wasababo na wakatoliki ni ndugu?
acha kufuru, ungekuwa muislam ungekaa kimya usingethubutu kutoa neno hili. Hii nchi ina dini kubwa mbili lazima uwemo upande mmojawapo, labda uwe umezaliwa na wazazi ambao hawakuingia kwenye dini yeyote tangu kuwepo kwa wakoloni/waarabu. Yaani ulizaliwa kwenye upagani hadi leo huna dini unayoiamini na kuiabuduDini ni uwehu
Mungu baba 1Wadau hamjamboni nyote?
Msako wa wanaopinga fundisho la utatu yaani Mungu mmoja ndani ya watatu unaendelea kwa kasi ndani ya kanisa la Wasabato
Hivi majuzi mchungaji mmoja huko Ethiopia ametumbuliwa rasmi kwa kuvuliwa wadhifa wake wa kiroho hii ni baada ya kupinga kuwa Mungu Yu mmoja ndani ya watatu.
Kwa mujibu wa kanisa la SDA wanaamini kuwa Kuna MUNGU MMOJA : BABA, MWANA, na ROHO MTAKATIFU , Umoja wa NAFSI 3 za milele.
Nimeambatanisha nakala ya barua husika kwa rejea yenu.
Karibuni kwa maoni Je Mungu ni mmoja kwa maana ya SINGLE au Mungu ni mmoja kwa maana ya WATATU?
Teh teh teh.ivi MUNGU yupo mmoja mm huwa najua kuna MUNGU watatu.
Umeandika kitu ambacho hata wewe huwezi kukielewaMungu baba ni Mungu mwenyewe
Mungu mwana ni Yesu kristu na Roho mtakatifu
Jua litawaka na mvua itanyesha Kwa pamoja..Teh teh teh.
Mungu wakiwa watatu mmoja akiamua mvua inyeshe mwingine akasema hapana nataka jua kali Nani ataweza kufanya alitaka?
Amkeni kabla hamjafa
Ukafiri Una adhabu kubwa mno
Umeona sasa ubaya wa imani za kukaliwa vikao Vatican.Jua litawaka na mvua itanyesha Kwa pamoja..
Ni Wakatoliki tu au Wakristo wote? Kuna Wakristo wasioamini katika Utatu mtakatifu?Katoliki wanaamini pia kwenye utatu mtakatifu
Sijui wakristu wengine ipojeNi Wakatoliki tu au Wakristo wote? Kuna Wakristo wasioamini katika Utatu mtakatifu?
Wewe fata yako achana na imani za watu utapasuka kichwa bure.Umeandika kitu ambacho hata wewe huwezi kukielewa
Mungu Yesu alipigwa na. Viumbe aliowaumba yeye mwenyewe au Yesu NI Mungu ambae Hana sifa ya kuumba?
Mungu azaliwe, anyinyeshwe atahiriwe na afe?
Hebu amka kabla hujafa. Moto WA Jahannam umeandaliwa kwa makafiri wenye Imani km hii.
MUNGU NI MMOJA TU.
Yesu NI Mtume WA MUNGU. Na alikuwa akisali kuabudu MUNGU ALIYE MTUMA
Moja ya jukumu la LAZIMA la imani yangu ni kukumbusha watu kuwa Yyt mwenye Kuabudu Asiekuwa MUNGU anaingia JAHANNAM MILELEWewe fata yako achana na imani za watu utapasuka kichwa bure.