Kanisa la Wasabato lawatimua wachungaji wanaopinga fundisho la Mungu wa utatu

Kanisa la Wasabato lawatimua wachungaji wanaopinga fundisho la Mungu wa utatu

Teh teh teh.
Mungu wakiwa watatu mmoja akiamua mvua inyeshe mwingine akasema hapana nataka jua kali Nani ataweza kufanya alitaka?

Amkeni kabla hamjafa
Ukafiri Una adhabu kubwa mno
na hao watatu ni umoja.....kila mtu yu ndani ya mwingne
 
Moja ya jukumu la LAZIMA la imani yangu ni kukumbusha watu kuwa Yyt mwenye Kuabudu Asiekuwa MUNGU anaingia JAHANNAM MILELE
au aache ibada hizo za kikafiri kabla hajafa.
Kwahio suala la kuwaacha halipo kabisa
Endelea kukumbusha lakini huwezi kutubadilisha.
 
Namuunga anaepinga "trinity " utamgawaje Mungu sehemu tatu?? Nyakati za mwisho mtaulizwa "enyi binadamu, mlinigawaje sehemu tatu bila aibu?" Mngejua aliyetoa hiyo doctrine sasa anaungua kwenye moto wa milele mngekoma kumgawa Mungu sehemu tatu. Acheni hizo!!!.
 
Endelea kukumbusha lakini huwezi kutubadilisha.
Mimi nakuombea MUNGU qkuonyeshe njia sahihi.
Usifunge macho wakati safari basi ndefu.
Utajikuta umetumbukia shimo la Moto.

We usinijali Mimi Jali Nafsi yako. Umejifunza Ukristo sasa Jifunze na UISLAMU kwa Lengo la kuongeza Elimu Tu.
Huenda ukakutana na Kitu ambacho hukijui ukapata faida flani.

Mimi nimesoma Shule ya Catholic miaka kadhaa. Nimepata faida nyingi Tu.

Elimu bahari. Usipate tamaa mapema.
 
Umeona sasa ubaya wa imani za kukaliwa vikao Vatican.
Hakuna Mkristo hata mmoja anaeweza kutoa tafsiri ya UTATU MTAKATIFU NA IKAELEWEKA.

Utaona majibu 200 lkn Huwezi kuelewa hata moja.
Na ukiuliza kwanini majibu yao hayaeleweki utaambiwa mpk Roho mtakatifu akuingie ndio utaelewa.
Yaani wanamfanya Mungu mbaguzi km mzungu. Anachagua nani awe na roho mtakatifu nani abaki kivyake.
Utatu haueleweki ssbabu kuu mbili,Mungu ni mkubwa sana akili yako wewe aliyekkumba haiwezi kumuelewa kikamilifu.Alafu pili,siyo dini ya kutengenezwa na mtu ndo maana haingii kwenye akili zako.
Dini za budha,Hindu,Uislam una falsafa nzuri sana ambazo zinafit kwenye akili kwa sababu ni mtu mwenyewe kaitengeneza hiyo dini.Sasa Mungu aliyeumba mbingu na nchi,akili yako ndoho sana kummaliza
 
Ndugu zangu katika BWANA kama unaamini biblia utakubali kuwa MUNGU ni mmoja mwenye nafsi tatu soma Mathayo 28:19 biblia inakubali hivyo, lakini ushauri wangu usikubali pokeo lolote la wanadamu kubali neno la MUNGU tu la siivyo utapotea
 
Umeona sasa ubaya wa imani za kukaliwa vikao Vatican.
Hakuna Mkristo hata mmoja anaeweza kutoa tafsiri ya UTATU MTAKATIFU NA IKAELEWEKA.

Utaona majibu 200 lkn Huwezi kuelewa hata moja.
Na ukiuliza kwanini majibu yao hayaeleweki utaambiwa mpk Roho mtakatifu akuingie ndio utaelewa.
Yaani wanamfanya Mungu mbaguzi km mzungu. Anachagua nani awe na roho mtakatifu nani abaki kivyake.
🤣🤣
Hiki kichaka cha roho mtakatifu wanapenda kukutumia sana.
 
Ukiangalia "trinity " ilivyokaa, utagundua ukristu ni "biashara ". Ni binadamu tu wameweka sheria zao. Tangu lini Mungu kagawanyika sehemu tatu? Sio kumdhalilisha? Mimi ninafuata imani yangu ya jadi ambayo haina upuuzi kama huu.
 
Back
Top Bottom