Kanisa la Kristo Morroco na Magomeni

Godee jr

JF-Expert Member
Apr 17, 2012
1,782
2,373
Nimeona mdau mmoja akiuliza kuhusu Kanisa la Silom na Mimi nikapata wazo la kuuliza kuhusu makanisa mawili niliyotaja hapo juu. Hivi haya makanisa yana waumini kweli maana sijawahi kuona watu wakiingia kuabudu wala kuona magari yamepaki nje pamoja na kuonekana kuwa ni makubwa sana.

Samahani kama nitakuwa nimemkwaza mtu
 
Lile la moroko ni wamishenary wanasali jumapili. Washanialika sana kwao pale mara kibao. Kuna wazungu pia nadhani wapo kwenye mission.

Kuna dogo mzungu anatembea na muafrika. Wanavaa mashati meupe,na suruali nyeusi.
Wanatoka kwenye hili kanisa.

Nadhani wengi wenu mmeshakutana nao.
 
Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi kunisimulia kitambo sana kuwa ukiingia lugha wanayotumia kusali huwezi kuelewa kwa urahisi alafu unapewa msosi wa hatari
 
Christ embassy church also known as believers' love world incorporated, is a mega church and Christian domination founded by pastor Chris oyakhilome in 1990
Head Quoter Lagos Nigeria

Lagos have 40,0000members and 1million world wide

Pastor Chris and Reverend Anita

Top secret
 
Back
Top Bottom