Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
Kesho nitakuja na ushahidi mzima, nimelihusisha kanisa lote maana haya malalamiko kanisa katoliki Tanzania bara wanayo,hii kesi aridhi kilimanjaro na polisi wanaizungushwa sana danadana nyingi hiyo ni dalili tosha ya mazingira ya rushwa
mbona watu wanakuwa hawana busara,acheni ushabiki usiyo wa msingi.mi mwenyewe ninajua habari hii kw undani.hakuna mzungu aliekaribishwa pale bwana.yule jamaa alikua mmiliki halali wa eneo lile ambalo lilikuwa la familia baada ya kuwa na mtoto na yule mama ambae ni kweli alikuwa nesi pale.ndo akajenga nyumba ya familia pale.angekaribishwa angejenga nyumba.na kama ilkuwa mali ya kanisa alipojenga kanisa lilikuwa wapi?na mbona kanisa limesubiri miaka yote hiyo.ivi kuna watu walosoma kwene hili kanisa kweli.kwa nini hamjapaga mkataba wa kukaa miaka yote.Tatizo wenye ukweli wengi wamekufaga.walioko ni walaku tu na wenye wivu.Kanisa Catholic achen kumuoea yule mjane.kuweni na hofu ya Mungu.Baba askofu unaacha wapi neno linalosema kuwa dini safi ni ile inayotazama wajane na kujilinda na ubaya usitende dhambi.utasimamiaje dhambi kubwa namna hii,utalishaje kondoo ndani ya dhambi.kanisa mna maeneo mengi,la mjane litawafaa nini.acheni dhuluma yule mama pale ni kwake.Dunia na vyote viijazo ni mali ya bwana.MUNGU HADHIAKIWI.MSISALI HUKU MNAMWIBIA MJANE.just magine case kama hii ina ingia rushwa,kanisa catholic mnapata wapi fedha za rushwa.SADAKA!!!Nimeigia mtiu kule marangu anitonya kuwa kuna mianya ya rushwa sana.na rushwa inaendeshwa na kanisa catholic.
mbona watu wanakuwa hawana busara,acheni ushabiki usiyo wa msingi.mi mwenyewe ninajua habari hii kw undani.hakuna mzungu aliekaribishwa pale bwana.yule jamaa alikua mmiliki halali wa eneo lile ambalo lilikuwa la familia baada ya kuwa na mtoto na yule mama ambae ni kweli alikuwa nesi pale.ndo akajenga nyumba ya familia pale.angekaribishwa angejenga nyumba.na kama ilkuwa mali ya kanisa alipojenga kanisa lilikuwa wapi?na mbona kanisa limesubiri miaka yote hiyo.ivi kuna watu walosoma kwene hili kanisa kweli.kwa nini hamjapaga mkataba wa kukaa miaka yote.Tatizo wenye ukweli wengi wamekufaga.walioko ni walaku tu na wenye wivu.Kanisa Catholic achen kumuoea yule mjane.kuweni na hofu ya Mungu.Baba askofu unaacha wapi neno linalosema kuwa dini safi ni ile inayotazama wajane na kujilinda na ubaya usitende dhambi.utasimamiaje dhambi kubwa namna hii,utalishaje kondoo ndani ya dhambi.kanisa mna maeneo mengi,la mjane litawafaa nini.acheni dhuluma yule mama pale ni kwake.Dunia na vyote viijazo ni mali ya bwana.MUNGU HADHIAKIWI.MSISALI HUKU MNAMWIBIA MJANE.just magine case kama hii ina ingia rushwa,kanisa catholic mnapata wapi fedha za rushwa.SADAKA!!!Nimeigia mtiu kule marangu anitonya kuwa kuna mianya ya rushwa sana.na rushwa inaendeshwa na kanisa catholic.
Ndg wanajamvi nasikitika sikuweza kuwa hapa kwa muda kdg haswa ukizingatia kama mtoa mada nilitakiwa niyajibu maswali yenj na pia kufafanua baadhi ya mambo. Nilikua namuuguza mama yangu mpendwa. Baada ya kusoma jinsi wengi wenu mliochangia ni kwamba kuna mnaodai lile eneo ni la kanisa, la hasha si la kanisa, lile eneo alimilikishwa Dr Balletto tena kisheria na hata ukienda pale ardhi wilayani ukaomba ramani utaona tu, na jirani yake ndo lilikua eneo la shule ya marangu. Ieleweke kwamba shule ile haikua mali ya kanisa katoliki hadi miaka ya 80 ilipokabidhiwa kwa jimbo katoliki la moshi, kwahiyo kanisa lilikua halina ardhi yyte pale, na baada ya kukabidhiwa shule kanisa ndo lilianza kufatilia ardhi ya jirani yani kwa mjane kama nilivyoeleza kwenye mada. Nimesoma alivyoandika mdau ngaiwoye anaesema kua ni jirani yake anavyoeleza ni sawa, nimesoma alivyoandika mdau chaga king ni kweli huyo dr Baleto kuna wkt alikua kule maua, na huskii familia yake ikiongelea maswala ya maua sababu ilibaki chini ya maua sem, mmeongelea juu ya lease na tittledeed nazan kuna waliofafanua hapo, ila napenda ieleweke document alizo nazo yule mama zinatambulika ofisi ya ardhi wilaya na ktk ramani hilo ya wilaya ilioyopo ofisi za ardhi shamba hilo lipo na linaonekana kwa jina la marehem na si kanisa wala shule. Kuna wengine wamedai kufahamu hiyo shamba na historia yake kua lilikua ni la kanisa, nawasihi waache uzushi na kubuni, ni lini kanisa lilimiliki pale wakati shule yenyewe ilikua si yao?? Kuna wengine wamemkashif mama mjane wakati hawamjui wala hawajui historia ila wameamua tu kutetea kanisa, mi mwenyewe ni mkatoliki toka kuzaliwa hadi uzee huu, sina sababu ya kulisingizia kanisa ila kwa hili kanisa ama watendaji wake hawako sawa. Kuna waliohoji uraiya wa mama mjane nazani ni ndg msingida, mama huyu ni raiya wa tanzania mzaliwa wa marangu na mwanae pia ni mtanzania maana alizaliwa hapa. Kuna mwingine alihoji kwanini raiya wa nje anamiliki shamba hapa, kuna watanzania kibao wana nyumba ughaibuni pia wana mashamba nchi za watu sioni tatizo kwa marehem kwani mkewe alikua mtanzania kabisa. Nawalongeza wale wote walioonyesha moyo wa huruma kwa mjane, MUNGU awabariki sana. Hivi sasa taarifa ambazo nimezipata ni kua mama mjane na mwanae wamefata mkondo wa sheria na hivi sasa wameshafungua shauri katika mahakama ya ardhi moshi na tayari kanisa na shule wameshapewa zuio la kuendeleza ujenzi pale huku kesi ikiendelea katika mahakama hiyo ingawa matisho ya mwalimu mkuu kwa mjane yanaendelea. Kwa maana hiyo basi nitashindwa kuweka ushahidi hapa kama nilivyoahidi kwa kua nitakua naingilia kazi za mahakama na uhuru wake. Wale wanaosema wanakaa pale ama wanapajua pale mfano benteke, ngaiwoye na wengine watakua sasa wameona barua za zuio zilivyobandikwa pale. Wasalaam mimi Bigjahman mpenda haki na muumini halali wa kanisa katoliki la roma
HahahaKanisa katoliki jimbo kuu la Moshi pamoja na shule yake ya sekondari Marangu bila aibu wala hofu ya Mungu wamuhubiriaye maana hi ni taasisi ya kidini wamemnyang'anya mjane shamba aliloachiwa na marehemu doctor Geovan Balletto.
Shamba hilo ambalo lina liz lipo jirani kabisa na shule ya Marangu inayomilikiwa na kanisa Katoliki, limekuwa likikaliwa na marehemu na familia yake na baada ya kifo chake mnamo 1972 alimuacha hapo mjane na mtoto wao.
Ndani ya shamba hilo kulikuwa na hospitali ambapo doctor huyo aliyekuwa mzungu raia wa Italy alikuwa akiwatibu na kuwasaidia sana wanakijiji wa Marangu na vijiji vya karibu akisaidiana na mjane huyu ambaye alikuwa nesi.
Pia kulikuwa na mazao pamoja na miti mingi na nyumba kubwa ya kuishi ambayo mpaka leo familia inaishi hapo,bila haya kanisa na taasisi yake bila ruhusa ya mjane huyo waliingiingia kwa nguvu kwenye shamba hilo na kukata miti mingi tuu na kujenga kisima.
Waliharibu mazao na kutandaza mabomba ya kupeleka maji shuleni kwao,kana kwamba hiyo haitoshi kanisa lilijitwalia eneo la ekari tatu hivi na kuanza ujenzi,mjane huyo alipouliza aliwekwa ndani kituo cha polisi HIMO.
Imekuwa kawaida kila hila na uonevu dhidi ya mama huyu mjane kutumika kwa polisi wa himo{RUSHWA KANISANI?}.
Hivi sasa kanisa linatumia nguvu kubwa ya fedha {sadaka} na hila ili wataifishe shamba hili ambalo lina liz na uhalali wote uliochwa na marehemu kwa familia yake,kanisa linafanya haya kupitia mawakala wake wakuu askofu mkuu Moshi pamoja na mwalimu mkuu Marangu sekondari ambaye kila kikicha anamtishia mama huyu maisha.
Je ni lini kanisa katoliki litaacha kuonea walalahoi na kwa kutumia sadaka zetu wenyewe?
Kupitia hapa tunaamini mama huyu atapata msaada kutoka kwa serikali,wanasheria,wanaharakati na watu mbalimbali hii ikiwa ni pamoja na ushahuri.