Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,931
- 1,178
Chagga king, mimi si mwanasheria ila kwa upeo wangu mdg naamin kwamba ile lease itamsaidia yule mama nikirefer cases nyingi ambazo ni similar na hii hapa, juzi tu niliona kwenye vyombo vya habari mkuu mmoja wa kanisa alipojaribu kuchkua ardhi ya mjane, hati(lease) ilimsaidia yule mama na serkali ilivunja zile nyumba if am not mistaking hii issue ilitokea mbezi daresalam, ama labda unisaidie maana ya lease ni nini labda na nini kazi yake
huo ushahidi mzima uko wapi? au kesho haijafika? au na wewe in mjane wa huyo muitaliano?
'
Nashangaa kila mmoja anangangania lease lease! Lease kwa maana gani, kwamba ana hati ya kumiliki (right of occupancy?) alipewa chini ya sheria ipi miaka hiyo ya 1970?
.
Huyu Dr Balleto sio yule aliyekuwa na dispensari pale Maua Parish pia? Alikuwa akishirikiana sana na Kanisa. Namkumbuka huyu maana aliniaibisha sana aliponipima enzi za shuleni pale akapiga kelele UNA MINYOO VEEEEVE. Nilipata aibu sana enzi hizo.
Inawezekana huyo Mama hafahamu umilikaji wa eneo alilokuwa anaishi umekaa vipi! Inawezekana sana ni eneo la kanisa alilopewa Dr Balleto ili asaidie kanisa, kama ilivyokuwa kule Maua Parokiani
Usituhadae mkuu, this is second registration ya wewe mleta mada huwezi jiunga jf leo kwa ajli ya suala la huyo mjana jana 26.08.2014 please lete lease kwanza ndo tukuamini tumeenda shule cc na c bla blah u. Jipange ksha urudi kivingine mkuu
Hii Taasisi mwisho umefika, kila siku matatzo tele Mapadre kulawiti, Padri lwambano kafumaniwa, macsta malaya balaa!
Hebu tuwekane sawa kwanza wanajamvi na kama kuna mwanasheria atuweke sawa juu ya TOFAUTI ILIYOPO KATI YA LEASE NA TITLE DEED???
Maaana mi kwa uwelewa wangu natambua ya kuwa hivyo vitu viwili ni tofauti(kwa maana ya kwamba vina makusudi tofauti),tena hasa kwa case husika baina ya mama mjane na kanisa.
Hivyo naomba wanasheria jitokezeni mtusahihishe hapa,na kuepusha watu kujichumia dhambi za burebure pasipo kujua.
Ushabiki wa kidini unawapeleka vibaya sana humu. Yaani mnaambiwa huyo mama ana lease halali ya serikali juu ya umiliki wa eneo hilo bado mnasema eti aliapewa na kanisa akae kwa muda tu? Kanisa lilikuwa wapi wakati huyo mama na huyo mumewe mtaliano wakati wanapewa hiyo hati ya umiliki wa ardhi hiyo?
Tunatatizo kubwa sana, huyu bwana kasema alitakiwa kuombwa ushahidi tayari wapuuzi wamesha mhukumu na kuandika upuuzi mbali mbali. Inaudhi sana.
Kanisa katoliki jimbo kuu la Moshi pamoja na shule yake ya sekondari Marangu bila aibu wala hofu ya Mungu wamuhubiriaye maana hi ni taasisi ya kidini wamemnyang'anya mjane shamba aliloachiwa na marehemu doctor Geovan Balletto.
Shamba hilo ambalo lina liz lipo jirani kabisa na shule ya Marangu inayomilikiwa na kanisa Katoliki, limekuwa likikaliwa na marehemu na familia yake na baada ya kifo chake mnamo 1972 alimuacha hapo mjane na mtoto wao.
Ndani ya shamba hilo kulikuwa na hospitali ambapo doctor huyo aliyekuwa mzungu raia wa Italy alikuwa akiwatibu na kuwasaidia sana wanakijiji wa Marangu na vijiji vya karibu akisaidiana na mjane huyu ambaye alikuwa nesi.
Pia kulikuwa na mazao pamoja na miti mingi na nyumba kubwa ya kuishi ambayo mpaka leo familia inaishi hapo,bila haya kanisa na taasisi yake bila ruhusa ya mjane huyo waliingiingia kwa nguvu kwenye shamba hilo na kukata miti mingi tuu na kujenga kisima.
Waliharibu mazao na kutandaza mabomba ya kupeleka maji shuleni kwao,kana kwamba hiyo haitoshi kanisa lilijitwalia eneo la ekari tatu hivi na kuanza ujenzi,mjane huyo alipouliza aliwekwa ndani kituo cha polisi HIMO.
Imekuwa kawaida kila hila na uonevu dhidi ya mama huyu mjane kutumika kwa polisi wa himo{RUSHWA KANISANI?}.
Hivi sasa kanisa linatumia nguvu kubwa ya fedha {sadaka} na hila ili wataifishe shamba hili ambalo lina liz na uhalali wote uliochwa na marehemu kwa familia yake,kanisa linafanya haya kupitia mawakala wake wakuu askofu mkuu Moshi pamoja na mwalimu mkuu Marangu sekondari ambaye kila kikicha anamtishia mama huyu maisha.
Je ni lini kanisa katoliki litaacha kuonea walalahoi na kwa kutumia sadaka zetu wenyewe?
Kupitia hapa tunaamini mama huyu atapata msaada kutoka kwa serikali,wanasheria,wanaharakati na watu mbalimbali hii ikiwa ni pamoja na ushahuri.
sitafuti public sympathy mzee,hili swala linajulikana marangu nzima,iyo lease nitaiweka apa
Nani kakwambia ni dini hebu nipe maandiko kwenye hiyo biblia yanayosema christianity is a religion kwa taarifa yako
Hni kampuni na wanaojua kutumia fursa wamefaidika sana rejea gwajima, mzee wa upako na wengine na bidhaa za
hhii kampuni ni nyingi kama sda, jehova witness, pentecostal, catholic among many so choice ni yako
Kanisa katoliki jimbo kuu la Moshi pamoja na shule yake ya sekondari Marangu bila aibu wala hofu ya Mungu wamuhubiriaye maana hi ni taasisi ya kidini wamemnyang'anya mjane shamba aliloachiwa na marehemu doctor Geovan Balletto.
Shamba hilo ambalo lina liz lipo jirani kabisa na shule ya Marangu inayomilikiwa na kanisa Katoliki, limekuwa likikaliwa na marehemu na familia yake na baada ya kifo chake mnamo 1972 alimuacha hapo mjane na mtoto wao.
Ndani ya shamba hilo kulikuwa na hospitali ambapo doctor huyo aliyekuwa mzungu raia wa Italy alikuwa akiwatibu na kuwasaidia sana wanakijiji wa Marangu na vijiji vya karibu akisaidiana na mjane huyu ambaye alikuwa nesi.
Pia kulikuwa na mazao pamoja na miti mingi na nyumba kubwa ya kuishi ambayo mpaka leo familia inaishi hapo,bila haya kanisa na taasisi yake bila ruhusa ya mjane huyo waliingiingia kwa nguvu kwenye shamba hilo na kukata miti mingi tuu na kujenga kisima.
Waliharibu mazao na kutandaza mabomba ya kupeleka maji shuleni kwao,kana kwamba hiyo haitoshi kanisa lilijitwalia eneo la ekari tatu hivi na kuanza ujenzi,mjane huyo alipouliza aliwekwa ndani kituo cha polisi HIMO.
Imekuwa kawaida kila hila na uonevu dhidi ya mama huyu mjane kutumika kwa polisi wa himo{RUSHWA KANISANI?}.
Hivi sasa kanisa linatumia nguvu kubwa ya fedha {sadaka} na hila ili wataifishe shamba hili ambalo lina liz na uhalali wote uliochwa na marehemu kwa familia yake,kanisa linafanya haya kupitia mawakala wake wakuu askofu mkuu Moshi pamoja na mwalimu mkuu Marangu sekondari ambaye kila kikicha anamtishia mama huyu maisha.
Je ni lini kanisa katoliki litaacha kuonea walalahoi na kwa kutumia sadaka zetu wenyewe?
Kupitia hapa tunaamini mama huyu atapata msaada kutoka kwa serikali,wanasheria,wanaharakati na watu mbalimbali hii ikiwa ni pamoja na ushahuri.
hahahaaaa, unafaa kuwa intelijensia mkuu
Nani kakwambia ni dini hebu nipe maandiko kwenye hiyo biblia yanayosema christianity is a religion kwa taarifa yako
Hni kampuni na wanaojua kutumia fursa wamefaidika sana rejea gwajima, mzee wa upako na wengine na bidhaa za
hhii kampuni ni nyingi kama sda, jehova witness, pentecostal, catholic among many so choice ni yako
Hii Taasisi mwisho umefika, kila siku matatzo tele Mapadre kulawiti, Padri lwambano kafumaniwa, macsta malaya balaa!
Hata kama lingejulikana DUNIA NZIMA achilia mbali Marangu nzima... inachotakiwa ni uhalali wa umiliki na si ujane au umaarufu wa kesi. Kuna cases nyingi za aina hii (na mara nyingi zinahusisha watu wanaojiita 'wajane'' (labda kutafuta sympathy?)) lakini ukichunguza kwa undani unakuta wanaosema wanaonewa ni watu walioishi sehemu muda mrefu na wenye umiliki halali wanapoamua kuiendeleza wanadai wanadhulumiwa!