Kanisa Katoliki ndio Nguzo ya Kiimani Tanzania

Kanisa Katoliki ndio Nguzo ya Kiimani Tanzania

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
4,770
Reaction score
10,665
Nimekuwa siku zote nikisema SOMENI ndugu zangu. Mtu mwenye elimu kamwe hawezi kuendeshwa na failure.

Kanisa katoliki ndio baba wa imani na ni merits kwa nchi ya TZ . Tujivunie…. Dini zote ni janja janja but Catholic Church means a lot to our country

Kanisa katoliki linasimamia haki bila uoga, imani nyingine hazina msaada kwenye taifa letu, wanapigania vitu visivokuwa na faida kama taifa… ni imani zinazopigania pepo na mbingu ya kufikirika thru enslavement …. What a shame!

Kanisa katoliki limesimama waziwazi na watanzania kuanzia mwanzo hadi mwisho. A standard 7 failure anaongoza nchi , anaamini watu hawampendi kwa imani yake au anapotoka… ni mambo ya hovyo sana head of the state kuwa na mentality hii na ina justify ignorance na incompetency yake ..

Imani ya mtu itasaidia nini kwenye taifa letu ….. mambo ya kipuuzi sana

Kama unafanya vema hata ukiwa unaamini katika mbwa, we will appreciate your work and cherish for your life.

Watanzania wamekukataa…. You are incompetent and hopeless, I Know , you know and everybody knows

You will never make it, historical bloodshed kwenye taifa letu you will pay you have to note that .

A genius gesture ingeweza kuzuia upuuzi wote uliotokea……but kupeana nchi kihawara harawa imetufikisha kwenye hizi moment zisizosahaulika…. and the biggest shame in our history

The storm is never over mpaka muwajibike wote and it is always a matter of time

Dr Megalodon Mushi (PhD
Canada
Rue 52
 
Mgalatia asiye na akili anapovimbiwa kitimoto ndio huwa hivi
 
Nimekuwa siku zote nikisema SOMENI ndugu zangu. Mtu mwenye elimu kamwe hawezi kuendeshwa na failure.

Kanisa katoliki ndio baba wa imani na ni merits kwa nchi ya TZ . Tujivunie…. Dini zote ni janja janja but Catholic Church means a lot to our country

Kanisa katoliki linasimamia haki bila uoga, imani nyingine hazina msaada kwenye taifa letu, wanapigania vitu visivokuwa na faida kama taifa… ni imani zinazopigania pepo na mbingu ya kufikirika thru enslavement …. What a shame!

Kanisa katoliki limesimama waziwazi na watanzania kuanzia mwanzo hadi mwisho. A standard 7 failure anaongoza nchi , anaamini watu hawampendi kwa imani yake au anapotoka… ni mambo ya hovyo sana head of the state kuwa na mentality hii na ina justify ignorance na incompetency yake ..

. Imani ya mtu itasaidia nini kwenye taifa letu ….. mambo ya kipuuzi sana

Kama unafanya vema hata ukiwa unaamini katika mbwa, we will appreciate your work and cherish for your life.

Watanzania wamekukataa…. You are incompetent and hopeless, I Know , you know and everybody knows

You will never make it, historical bloodshed kwenye taifa letu you will pay you have to note that .

A genius gesture ingeweza kuzuia upuuzi wote uliotokea……but kupeana nchi kihawara harawa imetufikisha kwenye hizi moment zisizosahaulika…. and the biggest shame in our history

The storm is never over mpaka muwajibike wote and it is always a matter of time

Dr Megalodon Mushi (PhD
Canada
Rue 52
Well well well said
 
Nimekuwa siku zote nikisema SOMENI ndugu zangu. Mtu mwenye elimu kamwe hawezi kuendeshwa na failure.

Kanisa katoliki ndio baba wa imani na ni merits kwa nchi ya TZ . Tujivunie…. Dini zote ni janja janja but Catholic Church means a lot to our country

Kanisa katoliki linasimamia haki bila uoga, imani nyingine hazina msaada kwenye taifa letu, wanapigania vitu visivokuwa na faida kama taifa… ni imani zinazopigania pepo na mbingu ya kufikirika thru enslavement …. What a shame!

Kanisa katoliki limesimama waziwazi na watanzania kuanzia mwanzo hadi mwisho. A standard 7 failure anaongoza nchi , anaamini watu hawampendi kwa imani yake au anapotoka… ni mambo ya hovyo sana head of the state kuwa na mentality hii na ina justify ignorance na incompetency yake ..

Imani ya mtu itasaidia nini kwenye taifa letu ….. mambo ya kipuuzi sana

Kama unafanya vema hata ukiwa unaamini katika mbwa, we will appreciate your work and cherish for your life.

Watanzania wamekukataa…. You are incompetent and hopeless, I Know , you know and everybody knows

You will never make it, historical bloodshed kwenye taifa letu you will pay you have to note that .

A genius gesture ingeweza kuzuia upuuzi wote uliotokea……but kupeana nchi kihawara harawa imetufikisha kwenye hizi moment zisizosahaulika…. and the biggest shame in our history

The storm is never over mpaka muwajibike wote and it is always a matter of time

Dr Megalodon Mushi (PhD
Canada
Rue 52
kuwepo kwa mamaluki wa vibaraka wa mamabwenye ya magharibi kama Fr.Kitima, kumefanya kanisa hilo kua nyanya tu gentleman.

we padri au askofu mzima anafurahia kadinali kufa halafu unasema ndio kanisa baba hilo?
 
Huyu ndio ana quality za kukaa pale juu, mwenzangu na mie alipaswa kuwa katibu tawala

Tumeharibu nchi sana
Kwa kuwa ni mgalatia mwenzako??Mama piga kàzi ..sisi tunakuunga mkono
 
Nimekuwa siku zote nikisema SOMENI ndugu zangu. Mtu mwenye elimu kamwe hawezi kuendeshwa na failure.

Kanisa katoliki ndio baba wa imani na ni merits kwa nchi ya TZ . Tujivunie…. Dini zote ni janja janja but Catholic Church means a lot to our country

Kanisa katoliki linasimamia haki bila uoga, imani nyingine hazina msaada kwenye taifa letu, wanapigania vitu visivokuwa na faida kama taifa… ni imani zinazopigania pepo na mbingu ya kufikirika thru enslavement …. What a shame!

Kanisa katoliki limesimama waziwazi na watanzania kuanzia mwanzo hadi mwisho. A standard 7 failure anaongoza nchi , anaamini watu hawampendi kwa imani yake au anapotoka… ni mambo ya hovyo sana head of the state kuwa na mentality hii na ina justify ignorance na incompetency yake ..

Imani ya mtu itasaidia nini kwenye taifa letu ….. mambo ya kipuuzi sana

Kama unafanya vema hata ukiwa unaamini katika mbwa, we will appreciate your work and cherish for your life.

Watanzania wamekukataa…. You are incompetent and hopeless, I Know , you know and everybody knows

You will never make it, historical bloodshed kwenye taifa letu you will pay you have to note that .

A genius gesture ingeweza kuzuia upuuzi wote uliotokea……but kupeana nchi kihawara harawa imetufikisha kwenye hizi moment zisizosahaulika…. and the biggest shame in our history

The storm is never over mpaka muwajibike wote and it is always a matter of time

Dr Megalodon Mushi (PhD
Canada
Rue 52
hakuna kanisa katili kama catholic.....kanisa pekee lililoua mamilion na mamilion ya waprotestant .....lililotesa kikatili sana kuliko hata mateso ya mafwele kutoka karne ya 1 mpaka mwaka 1798...........

kanisa katolik lazma liifatilie serikal maana lengo lake n kutawala watawala huwa nashangaaa samia n islamic lkn alienda vatikan kunyenyekea hata kikwete aliendaga"
 
hakuna kanisa katili kama catholic.....kanisa pekee lililoua mamilion na mamilion ya waprotestant .....lililotesa kikatili sana kuliko hata mateso ya mafwele kutoka karne ya 1 mpaka mwaka 1798.
Mkuu ungejibu tu hoja ukaacha viroja
 
Acha umbea
kuwepo kwa mamaluki wa vibaraka wa mamabwenye ya magharibi kama Fr.Kitima, kumefanya kanisa hilo kua nyanya tu gentleman.

we padri au askofu mzima anafurahia kadinali kufa halafu unasema ndio kanisa baba hilo?
Acha umbea na majungu

Hizi ni manipulation za machawa

Ignore
 
hakuna kanisa katili kama catholic.....kanisa pekee lililoua mamilion na mamilion ya waprotestant .....lililotesa kikatili sana kuliko hata mateso ya mafwele kutoka karne ya 1 mpaka mwaka 1798.
Nitajie dini ya monotheism ambayo hajafanya bloodshed. Zipo Imani nyingine zinasema kabisa kuwa bloodshed yao ilikuwa ni haki na inabarakq za mungu

A god who wanted people to kill each other ili atambulike

Nimesemq hapo juu Imani zote ni janja janja but catholic means a lot to our physical life

At least catholic wame apologize kwenye maeneo mengi

Imani nyingine bado wanaendelea kuwa bloodshed justify blood shed yao ya miaka hiyo

Elewa maan ya kuelimikq
 
Acha umbea

Acha umbea na majungu

Hizi ni manipulation za machawa

Ignore
kama kueleza ukweli ni majungu,
nadhani inanipasa kufanya bidii zaidi bila kujali mihemko nonsense kama yako gentleman.

FR.kitima kujaribu kuingiza siasa maji taka za chadema ndani ya kanisa katoliki ni upuuzi wa kiwango kibaya mno gentleman,

hatua hiyo ya huyu padre fuska ni sawa na kulipaka mavi kanisa katoliki
 
Kwa kuwa ni mgalatia mwenzako??Mama piga kàzi ..sisi tunakuunga mkono
Sijawahi kuwa muumini wa dini zenu za kitumwa. Huu ni upuuzi mwingine kuamini mama yako hapendwi kisa imani yak , you are very stupid na ni mjinga….: imani ya mtu itaniletea ugali au italipia watoto zangu international Schools ….. you a stupid and ignorant

You mama is incompetent and hopeless, hata yeye hajui anachokifanyq …. Wewe unamtetea

You are not intelligent after all
 
Nitajie dini ya monotheism ambayo hajafanya bloodshed. Zipo Imani nyingine zinasema kabisa kuwa bloodshed yao ilikuwa ni haki na inabarakq za mungu

A god who wanted people to kill each other ili atambulike

Nimesemq hapo juu Imani zote ni janja janja but catholic means a lot to our physical life

At least catholic wame apologize kwenye maeneo mengi

Imani nyingine bado wanaendelea kuwa bloodshed justify blood shed yao ya miaka hiyo

Elewa maan ya kuelimikq
sijawah kuwasikia walokole waluther jehova witness wasabato wabudha kuwa wammeua !
 
Back
Top Bottom