Seif_Tz
Member
- Feb 18, 2017
- 6
- 1
Kweli bana naona wapo kimya sana, may be ni mtu wa kanisani kwao so pengne wanahofia ki2 flani
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Ukweli hembu Usemwe, bila kutukana wala kumuonea MTU.
Kanisa katoliki ni taasisi ambayo kipindi cha Rais Kikwete ilikuwa Vocal SN.
walitoa waraka,nyaraka Za kitume,miongozo kupinga pale kwa uoni wao walihisi kuna madhaifu.
Tazama!!!!
Magufuli ameshuhudia mwenyewe kuwa aliomba ushauri kwa kadinali Pengo kwakuwa kazi ya uraisi ni Ngumu.
Kwa mapungufu makubwa alioyaonyesha mbn hamjitokezi kama taasisi inayokemea uovu unapoibuka?
Niwakumbushe!
suala la kutoajiri
suala la vyeti feki refer bashite kukimbilia kulia madhahabuni
ugumu WA maisha
fedha Za maafa bukoba
Uhuru WA kujieleza
Uhuru WA kufanya mikutano ya kisiasa.
kudharauliwa mchakato wa katiba ambao hata nyie mlishiriki mpk hapo ulipofikia.
mbn mnakosa moral authority kusema kipindi hiki?
je hapo nyumba hio courage ya kukemea uovu ilitoka wapi Na sasa imeenda wapi?
let us think critically not like idiots
let us think big
Assadsyria3.
Mbona hata ile radio yao ya mji kasoro bahari nayo iko kimya tena imekua mfano bora wa kusisitiza amani. Enzi za JK ilikuwa na vipindi motomoto au nayo inaendeshwa na hao unawatuhumu.Kinachowasumbua ni njaa tu. Safari hii mtalia na kusaga meno. Mmekalia udini tu ndiyo kazi ya wenye shule ndogo kifikra.
Yaani ni mkatoliki kindakindaki,,yuko tayari kunywa maji yaliyofulia bendera ya Vatican ha ha ha haRaha sana hizi kauli za mimi "Mkatoliki pure" ....mnajua maana yake?
Mdau watu wa aina hii hata kwenye Biblia Takatifu wapoooUkweli hembu Usemwe, bila kutukana wala kumuonea MTU.
Kanisa katoliki ni taasisi ambayo kipindi cha Rais Kikwete ilikuwa Vocal SN.
walitoa waraka,nyaraka Za kitume,miongozo kupinga pale kwa uoni wao walihisi kuna madhaifu.
Tazama!!!!
Magufuli ameshuhudia mwenyewe kuwa aliomba ushauri kwa kadinali Pengo kwakuwa kazi ya uraisi ni Ngumu.
Kwa mapungufu makubwa alioyaonyesha mbn hamjitokezi kama taasisi inayokemea uovu unapoibuka?
Niwakumbushe!
suala la kutoajiri
suala la vyeti feki refer bashite kukimbilia kulia madhahabuni
ugumu WA maisha
fedha Za maafa bukoba
Uhuru WA kujieleza
Uhuru WA kufanya mikutano ya kisiasa.
kudharauliwa mchakato wa katiba ambao hata nyie mlishiriki mpk hapo ulipofikia.
mbn mnakosa moral authority kusema kipindi hiki?
je hapo nyumba hio courage ya kukemea uovu ilitoka wapi Na sasa imeenda wapi?
let us think critically not like idiots
let us think big
Assadsyria3.
Hivi unajua maana ya Kanisa katoliki lilihusika asilimia mia moja,,,,,hii nchi tuna watu wa aina ganiHuko katolikini kumejaa unafki na ushetani mwingi tu; mf tizama ile scandal ya Escrow, katoliki ilihusika 100%
Kanisa limekaa kinafki pamoja na waumini wakeKipindi cha JK ma sheikh hawakujitokeza? Mbona walianzisha hadi movements za udini. Leo hii umewasikia wakiongea ? Shida yako ni kusikia kauli ya kanisa tu ? Fanya yako kama ni kutoa waraka toa tu wa kwako usililie wa kanisa
Inawezekana lakini unaposema na waumini wake nahisi unakosea, kwa kuwa mi ni mmoja wao lakini hata mimi kufumbia macho matatizo yanayowakumba watanzania katika uongozi wa awamu hii ya tano! Bila kusema neno kwa huyu 'CHEPE'ili roho zetu zitulie, Nna mashaka na unafiki wao! Hata yule paroko wa songea, simsikii tena kisa Chepe ni mkatoliki sijui!!Kanisa limekaa kinafki pamoja na waumini wake
Tra collect 10trillionsAnawakusanyia Makanisa hasa ya pengo pesa walizo zimiss wakati Wa jk
Ndio kanisa ndilo linalopanga raisi awe nani.Hivi Kanisa ndilo lililowachagulia hao viongozi? Ndilo lililowaimbisha nyimbo za "wacha waisome NAMBA"? He lilifanya kampeni likiwataka wtz wamchague mgombea kwa tiketi ya katoliki? Tuacheni ujinga wtz wa kuchanganya Imani na siasa.
Kanisa katika kutekeleza mjukumu take hujipa nafasi/ muda wa kutosha kupima nini liseme,likemee, na kuonya.
Wanakanisa, kama walivyo wTz wote, wanaweza kutoa maoni yao. Ila kanisa hutoa nyaraka rasmi
tatizo unaongea sana, hujanijibu swali bali umekurupuka tu kwa matusi, lakini si hoja nadhani tayari ujumbe ulifika na uliguswa usipopenda.mkuu wapi hujaelewa? jadili hoja km great thinker sio km wajinga Na wapumbavu wasiojielewa. what is wrong with that.
great thinker hatukani Bali hueka hoja,ukiona unatikana ur idior