Kanisa Katoliki na siasa za kinafiki Tanzania

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,904
4,050
Ukweli hembu Usemwe, bila kutukana wala kumuonea MTU.

Kanisa katoliki ni taasisi ambayo kipindi cha Rais Kikwete ilikuwa Vocal SN.

walitoa waraka,nyaraka Za kitume,miongozo kupinga pale kwa uoni wao walihisi kuna madhaifu.

Tazama!!!!

Magufuli ameshuhudia mwenyewe kuwa aliomba ushauri kwa kadinali Pengo kwakuwa kazi ya uraisi ni Ngumu.

Kwa mapungufu makubwa alioyaonyesha mbn hamjitokezi kama taasisi inayokemea uovu unapoibuka?

Niwakumbushe!

suala la kutoajiri

suala la vyeti feki refer bashite kukimbilia kulia madhahabuni

ugumu WA maisha

fedha Za maafa bukoba

Uhuru WA kujieleza

Uhuru WA kufanya mikutano ya kisiasa.

kudharauliwa mchakato wa katiba ambao hata nyie mlishiriki mpk hapo ulipofikia.

mbn mnakosa moral authority kusema kipindi hiki?

je hapo nyumba hio courage ya kukemea uovu ilitoka wapi Na sasa imeenda wapi?

let us think critically not like idiots

let us think big

Assadsyria3.
 
Mi ni mkatoliki pure ila kwa hili nakuunga mkono
Ukweli hembu Usemwe, bila kutukana wala kumuonea MTU.

Kanisa katoliki ni taasisi ambayo kipindi cha Rais Kikwete ilikuwa Vocal SN.

walitoa waraka,nyaraka Za kitume,miongozo kupinga pale kwa uoni wao walihisi kuna madhaifu.

Tazama!!!!

Magufuli ameshuhudia mwenyewe kuwa aliomba ushauri kwa kadinali Pengo kwakuwa kazi ya uraisi ni Ngumu.

Kwa mapungufu makubwa alioyaonyesha mbn hamjitokezi kama taasisi inayokemea uovu unapoibuka?

Niwakumbushe!

suala la kutoajiri

suala la vyeti feki refer bashite kukimbilia kulia madhahabuni

ugumu WA maisha

fedha Za maafa bukoba

Uhuru WA kujieleza

Uhuru WA kufanya mikutano ya kisiasa.

kudharauliwa mchakato wa katiba ambao hata nyie mlishiriki mpk hapo ulipofikia.

mbn mnakosa moral authority kusema kipindi hiki?

je hapo nyumba hio courage ya kukemea uovu ilitoka wapi Na sasa imeenda wapi?

let us think critically not like idiots

let us think big

Assadsyria3.
.
 
Ukweli hembu Usemwe, bila kutukana wala kumuonea MTU.

Kanisa katoliki ni taasisi ambayo kipindi cha Rais Kikwete ilikuwa Vocal SN.

walitoa waraka,nyaraka Za kitume,miongozo kupinga pale kwa uoni wao walihisi kuna madhaifu.

Tazama!!!!

Magufuli ameshuhudia mwenyewe kuwa aliomba ushauri kwa kadinali Pengo kwakuwa kazi ya uraisi ni Ngumu.

Kwa mapungufu makubwa alioyaonyesha mbn hamjitokezi kama taasisi inayokemea uovu unapoibuka?

Niwakumbushe!

suala la kutoajiri

suala la vyeti feki refer bashite kukimbilia kulia madhahabuni

ugumu WA maisha

fedha Za maafa bukoba

Uhuru WA kujieleza

Uhuru WA kufanya mikutano ya kisiasa.

kudharauliwa mchakato wa katiba ambao hata nyie mlishiriki mpk hapo ulipofikia.

mbn mnakosa moral authority kusema kipindi hiki?

je hapo nyumba hio courage ya kukemea uovu ilitoka wapi Na sasa imeenda wapi?

let us think critically not like idiots

let us think big

Assadsyria3.
Kipindi cha JK ma sheikh hawakujitokeza? Mbona walianzisha hadi movements za udini. Leo hii umewasikia wakiongea ? Shida yako ni kusikia kauli ya kanisa tu ? Fanya yako kama ni kutoa waraka toa tu wa kwako usililie wa kanisa
 
Sijaelewa nini maana yako, maana km viroba tumeshapiga marufuku! Sasa sijui umelewa nini? Kazi ya kanisa katholik kutoa mafundisho ya kiroho kwrua waamini wake. Hivyo basi usiongee kashifa. Mf. Huko unakosali ndio nguruwe wanakolala, utajisikiaje! Sio kazi ya wakatolik kuendesha serikali. Bashite mkubwa.
 
Sijaelewa nini maana yako, maana km viroba tumeshapiga marufuku! Sasa sijui umelewa nini? Kazi ya kanisa katholik kutoa mafundisho ya kiroho kwrua waamini wake. Hivyo basi usiongee kashifa. Mf. Huko unakosali ndio nguruwe wanakolala, utajisikiaje! Sio kazi ya wakatolik kuendesha serikali. Bashite mkubwa.
mkuu mbn hujajibu hoja kwann Kikwete Na sio jpm? mbn mapungufu yapo mengi tu y yyyy
 
Sijaelewa nini maana yako, maana km viroba tumeshapiga marufuku! Sasa sijui umelewa nini? Kazi ya kanisa katholik kutoa mafundisho ya kiroho kwa waamini wake. Hivyo basi usiongee kashifa. Mf. Huko unakosali ndio nguruwe wanakolala, utajisikiaje! Sio kazi ya wakatolik kuendesha serikali. Bashite mkubwa.
 
Ukweli hembu Usemwe, bila kutukana wala kumuonea MTU.

Kanisa katoliki ni taasisi ambayo kipindi cha Rais Kikwete ilikuwa Vocal SN.

walitoa waraka,nyaraka Za kitume,miongozo kupinga pale kwa uoni wao walihisi kuna madhaifu.

Tazama!!!!

Magufuli ameshuhudia mwenyewe kuwa aliomba ushauri kwa kadinali Pengo kwakuwa kazi ya uraisi ni Ngumu.

Kwa mapungufu makubwa alioyaonyesha mbn hamjitokezi kama taasisi inayokemea uovu unapoibuka?

Niwakumbushe!

suala la kutoajiri

suala la vyeti feki refer bashite kukimbilia kulia madhahabuni

ugumu WA maisha

fedha Za maafa bukoba

Uhuru WA kujieleza

Uhuru WA kufanya mikutano ya kisiasa.

kudharauliwa mchakato wa katiba ambao hata nyie mlishiriki mpk hapo ulipofikia.

mbn mnakosa moral authority kusema kipindi hiki?

je hapo nyumba hio courage ya kukemea uovu ilitoka wapi Na sasa imeenda wapi?

let us think critically not like idiots

let us think big

Assadsyria3.

Ukweli hembu Usemwe, bila kutukana wala kumuonea MTU.

Kanisa katoliki ni taasisi ambayo kipindi cha Rais Kikwete ilikuwa Vocal SN.

walitoa waraka,nyaraka Za kitume,miongozo kupinga pale kwa uoni wao walihisi kuna madhaifu.

Tazama!!!!

Magufuli ameshuhudia mwenyewe kuwa aliomba ushauri kwa kadinali Pengo kwakuwa kazi ya uraisi ni Ngumu.

Kwa mapungufu makubwa alioyaonyesha mbn hamjitokezi kama taasisi inayokemea uovu unapoibuka?

Niwakumbushe!

suala la kutoajiri

suala la vyeti feki refer bashite kukimbilia kulia madhahabuni

ugumu WA maisha

fedha Za maafa bukoba

Uhuru WA kujieleza

Uhuru WA kufanya mikutano ya kisiasa.

kudharauliwa mchakato wa katiba ambao hata nyie mlishiriki mpk hapo ulipofikia.

mbn mnakosa moral authority kusema kipindi hiki?

je hapo nyumba hio courage ya kukemea uovu ilitoka wapi Na sasa imeenda wapi?

let us think critically not like idiots

let us think big

Assadsyria3.


 
Back
Top Bottom