Toka mwanzo ungekuwa unaongea hivi ningekuandalia zawadi....!!
Tatizo lako umeanza kwa kuwachafua watu wote kwenye list bila kujali kwamba wengine ndio akina Super Mods!!
Shauri lako??
Babu DC!!
usihofu watakuombea tuu
Wewe BADILI TABIA, wewe?
Nani alikwambia handaki ni kinga imara? Umewasahau akina Sadam Hussein na Lauren Bagbo walivyookotwa kwenye mashimo kama kuku anayeumwa mdondo?
Face it....omba msamaha yaishe!!
Babu DC!!
Maombi gani jamani ya kuongozwa na Boflo? Labda CUTE ana kasura ka utakatifu
Ndugu yangu Smiling Saint
Hilo kanisa lako litakuwa linamwabudu Mungu yupi? Kwani naona umechanganya machungwa, malimao, ndimu na chenza kwenye kapu moja....Are they the same?
Babu DC!!
BADILI TABIA full kuibia kanisa
wateule wapi, freemansons....loh
Ronn MMtunza sadaka, halelujah