Kanipa Deadline either nikajitambulishe kwao au tuachane.

Kanipa Deadline either nikajitambulishe kwao au tuachane.

Lazima kuna mtu anayeonyesha nia hivyo binti anataka kukata shauri. Peleka mshenga kwaouanze maandalizi. Mahari si lazima ilipwe mwezi huu
 
wanawake wote wangekuwa na msimamo kama wa huyu aisee vilio vinge pungua kabisa lakini bahati mbaya ni nadra sana kukutana na wa namna hii,
 
Ukimkubalia eti kwenda kujitambulisha kwao tena kwa yeye kukuforce, atakuwa anakuforce kila kitu maana atajua wewe ni wa kuforciwa ndo mambo yataenda.
Onyesha msimamo na mwambie kuwa huendi ili kuthibitisha kama kweli anakupenda kwa dhati au la. Kukaa miaka 3 si tatizo. Watu wanakaa hata miaka kumi, iwe mitatu tu?
Kama anakupenda kwa dhati hata 2050 mtafumga ndoa kama mko wazima.
 
Ikipita tar hiyo kuna kidume kingine kitapeleka usije ukalalamika kuwa amekutosa!tunasahau fimbo ya mbali.......!tafuta na wewe dodoma huko si wapo kibao!ndoa biashara siku hizi!
 
Kama unampenda muonyeshe kwa vitendo si kwa maneno tu kumpata mwingine utakayempenda kiasi hicho ni kazi sana, chakarika mwanaume uende Marangu ukatoe mahari.
 
i totaly support the lady...acha kumchezea mwenzio....kama haupo ready kuoa nenda gegeda malaya kama wakina mzabzab
 
Mtafute mtu mwenye busara amweleweshe vzur, karibu kaka shemej zako tupo huku marangu cku ikfka tukupe kampan ya kutwanga mpunga!!!
 
Yaani pamoja technolojia ya sasa, miaka mitatu unamchunguza mtu ambaye ukiingia FB unaweza jua hata akiwazalo.
Wee nawe hata hueleweki, mara ushapata mara bado watafuta. Sasa take ur pick from a dozen nyamwezis. kuna The Boss, Sikonge Fighter, mzabzab KIKUNGU, Boflo, ITEGAMATWI, monaco, @hkigwangala, Shardcole na waburushi fulani hivi wana indício na The Boss.

unanitaja mara mbili mbili hapo au ndo msisitizo?
sikujua mzabzab ni mnyamwezi dah
unaweza kata rufaa lol
 
she yupo right, kama uko serious nenda kajitambulishe kwao kwani inavyoonekana mwenzako hakuelewi unamalengo gani kwasababu ahadi zako hazikamiliki mkuu!!
 
3yrs mmmhhh!!!!umeshamgegeda?co unaleta story yawezekana hata kugegeda bado,if so anaweza hisi u're not the man of action..!
 
Kama unampenda muonyeshe kwa vitendo si kwa maneno tu kumpata mwingine utakayempenda kiasi hicho ni kazi sana, chakarika mwanaume uende Marangu ukatoe mahari.

Hebu msindikize ukweni na wimbo basi..sijui songi gani litamfaa...

unanitaja mara mbili mbili hapo au ndo msisitizo?
sikujua mzabzab ni mnyamwezi dah
unaweza kata rufaa lol

Hahaha..aisee kumbe wanyamwezi ndo mko hivyo??? nice to know nimuonye dada yangu awaepuke.
Cc: Asnam na Kipipi
Smile, ebu kam zis wei to uchagani...

On second thought: nadhani hawa watu hawana communication ama ni kama mzabzab anavyopenda kusema hakunaga kitu distance relationship! Mimi siwezi kuwekewa ultimatum za tarehe..at least am sure halitoweza kutokea kama tunazungumza na anajua what is going on...yani tupo in sync!!!
 
Last edited by a moderator:
Ukiona hivyo na yeye kuna jamaa kampa deadline ifkapo tarh 30 ampe jibu hivyo jibu lako likiwa 'no' na yy kule atatoa 'yes' mahari ipelekwe...ukisema 'yes' kule 'no'
 
...labda huu utamsaidia kumhamasisha afunge safari kwenda Marangu haraka kabla hajazidiwa kete.



Hebu msindikize ukweni na wimbo basi..sijui songi gani litamfaa...



Hahaha..aisee kumbe wanyamwezi ndo mko hivyo??? nice to know nimuonye dada yangu awaepuke.
Cc: Asnam na Kipipi
Smile, ebu kam zis wei to uchagani...

On second thought: nadhani hawa watu hawana communication ama ni kama mzabzab anavyopenda kusema hakunaga kitu distance relationship! Mimi siwezi kuwekewa ultimatum za tarehe..at least am sure halitoweza kutokea kama tunazungumza na anajua what is going on...yani tupo in sync!!!
 
Last edited by a moderator:
Hebu msindikize ukweni na wimbo basi..sijui songi gani litamfaa...



Hahaha..aisee kumbe wanyamwezi ndo mko hivyo??? nice to know nimuonye dada yangu awaepuke.
Cc: Asnam na Kipipi
Smile, ebu kam zis wei to uchagani...

On second thought: nadhani hawa watu hawana communication ama ni kama mzabzab anavyopenda kusema hakunaga kitu distance relationship! Mimi siwezi kuwekewa ultimatum za tarehe..at least am sure halitoweza kutokea kama tunazungumza na anajua what is going on...yani tupo in sync!!!

hao wanyamwezi nawapa salute huko kwao sikanyagi bro,shukrani kunisisitiza.
 
ukiona hivyo pengine na yeye anaulizwa,muda wowote huo hakuna mabadiliko?au kuna mtu anamfukuzia kwa kasi na ahadi teletele,yeye hajajua aamue vipi.fanya kweli bwana na yeye ajijue yupo position gani,ukiangalia mapenzi ya mbali.matatizo kila siku yapo.sio umgegede tu miaka nenda miaka rudi

Hii ni kweli kabisa. Kuna mpinzani umepata. Masa ukiendelea kusubiri unaweza ukasubiri milele. wakati mwingine wanaume wengi wameonekana kutoa ahadi hewa na nzito ambazo hukaa muda mrefu bila kutimia na hatimaye kupotea kabisa.

Kama amepata wito na ahadi kutoka sehemu nyingine, anataka kwanza aone how sirias you are.

Kama kweli unampenda nenda kwao. vinginevyo mhhh!!!!

lakini pia nhisi pia hiyo deadline iko karibu mno.

Tafakari kwa makini kabla ya Kuamua JAmbo lolote.
 
Back
Top Bottom