Kaniomba Pete ya uchumba ndani ya siku 10

Kaniomba Pete ya uchumba ndani ya siku 10

PAPUCHI MKINYIMWA MNANUNA

PETE MKIOMBWA MNANUNA

ELA MKIOMBWA MNANUNA

mnataka tuombe DUSHE?????????????
 
Mwambie siku 10 ni chache sana kufanya maamuzi kama hayo. Mwambie asubiri miaka 10 wote mjiandae na kama bado mnapendana na kutaka kuwa pamoja basi utamvisha pete ya uchumba na kisha kufunga pingu za maisha.


 
Last edited by a moderator:
Hahaa wenziwe wanaombaga voucher kwanza nk...ye ameanza na Pete? Aya Fanya mpango mnunulie zile za bati umpee..aombaye upewa
 
Amekuomba Pete Ya Uchumba Ndan Ya Siku Kumi. Je Wewe Ulimuomba Tendo La Ndoa Ndani Ya Siku Ngapi? Ukijibu Hili Ndipo Tutajua Nani Anapaswa Kuchunguzwa Akili Kati Yako Huyo Mwanamke
 
Tapeli mapenzi si nondo kiasi cha wewe kuuliza hilo swali
 
unaumiza kichwa bure kanunue pete ya buku mbili halafu unampa mtu ampelekee then unamcall unamwambia vaa
 
kuna msemo usemao; Abiria chunga mzigo wako. Nafikiri ameuzaingatia zaidi
 
Rate ya single ladies inaongezeka kila siku, one night stands zinaongezeka kila siku, mapenzi bila commitment ndo usiseme...
 
Siku 10 mbona nyingi sana;mm niliombwa nimhamishe toka alipo panga Yombo Dovya nimlete angalau Sinza siku yetu ya kwanza ya dinner!
 
pete za siku hz hata ukivalishwa mia kama mapenz hayapo hayapo tu. Kama yapo hata bila pete utayaona tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom