Kaniomba mwenyewe

Kaniomba mwenyewe

Ulipotoka kwenda kwenye maji alijua kuwa unaleta "wazee wa kazi" walambe hiyo pesa!..na huenda alikuona unawabipbip watu kadha akajua itakula kwake, dawa ni kukutosa hadi afike kwa mwenye kiwanja..!
Ni hivyo tu, na si tofauti!
 
Alikuja kugundua baadae anaweza mkaba ndo maana alivyo fika kwenye plot akamwita tena amrushe roho.

Inaonyesha huyu haaminiki kama rafiki yako wa kweli asingeweza kukutoroka bank urafiki wa mashaka.
 
Ulipotoka kwenda kwenye maji alijua kuwa unaleta "wazee wa kazi" walambe hiyo pesa!..na huenda alikuona unawabipbip watu kadha akajua itakula kwake, dawa ni kukutosa hadi afike kwa mwenye kiwanja..!
Ni hivyo tu, na si tofauti!

Amenifikili tofauti sana huyu
 
ulipotoka kwenda kwenye maji alijua kuwa unaleta "wazee wa kazi" walambe hiyo pesa!..na huenda alikuona unawabipbip watu kadha akajua itakula kwake, dawa ni kukutosa hadi afike kwa mwenye kiwanja..!
Ni hivyo tu, na si tofauti!

basi kichwa yake haipo sawa huyo. Ina maana hakufikiria hilo before hajamtoa mwenzie kazini!
 
Yule rafiki ambae hakupigii cmu anakupigia anapo taka kuja kulala kwako.

Cku hizi anapiga sijui naye ni member huku maana mh, baada ya hapa na kuapply baath za ushauri za humu.. mh ameelewa kwamba ni 2 way trafic.
 
Cku hizi anapiga sijui naye ni member huku maana mh, baada ya hapa na kuapply baath za ushauri za humu.. mh ameelewa kwamba ni 2 way trafic.

Angalia linaweza kuwa limejirudi ili lipate kitu roho inapenda shauri yako. Alafu likakuachia vidonda rohoni.
 
labda unatabia ya wizi so alivyokumbuka umeona anapesa akajua uzalendo utakushinda akaamua kusepa
 
labda unatabia ya wizi so alivyokumbuka umeona anapesa akajua uzalendo utakushinda akaamua kusepa
cjawahi iba hata cent... Yeye tu na vijicent vyake kaviona labda vingi
but can elewa vibaya mno! Cna tabia hiyo
 
Muulize ana maana gani maana hata mimi amenishangaza.
 
Rafiki yangu kaniomba nimsindikize benki achukue pesa akanunue kiwanja kaenda kaunta kachukua pesa kanituma nikamnunulie maji akidai ananisubiri hapo ndani ya benki kwani kuna receipt anaingojea.

Narudi simkuti nampigia cm hapokei, baada kama ya robo saa ananipigia cm eti alishaondoka nimfuate huko anakonunua kiwanja.

Hapa nikaanza jiuliza huyu kaomba lift yangu huko tena kaenda nanani?
Na kwanini anitoroke?
Jamani wana JF huyu anamaana gani?
alikuwa anapunguza idadi ya mashaiidi, maana siku hizi kila shaidi kuweka saini ni elfu 50
 
Pole sana............ila kuna kitu mfind one day then muulize
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom