Kaniomba mwenyewe

Kaniomba mwenyewe

Amekuona huna shughuli za maana ndio maana kakuacha kwenye mataa
Rafiki yangu kaniomba nimsindikize benki achukue pesa akanunue kiwanja kaenda kaunta kachukua pesa kanituma nikamnunulie maji akidai ananisubiri hapo ndani ya benki kwani kuna receipt anaingojea.

Narudi simkuti nampigia cm hapokei, baada kama ya robo saa ananipigia cm eti alishaondoka nimfuate huko anakonunua kiwanja.

Hapa nikaanza jiuliza huyu kaomba lift yangu huko tena kaenda nanani?
Na kwanini anitoroke?
Jamani wana JF huyu anamaana gani?
 
mkuu mambo ya pesa yana vituko..wewe shukuru kwa hilo kwani ingetokea ukiwa nae mkapata balaa lolote kuhusiana na hizo pesa wewe ndio ungekuwa suspect number one!!
 
amekuona huna shughuli za maana ndio maana kakuacha kwenye mataa

Anamatatizo makubwa sana huyu, kwani amenitoa kwa ofisi nimemdanganya boss.. Yeye ndio hana shughuli za ratiba ndio maana kaona kawaida kunipotezea muda.
 
Madai yake eti aliona milion 8 ni nyingi akaita escort ya police. eti alipewa ushauri na accountant wa benki.:smile-big:???

ha ha ha ha! Nacheka kama mazuri. Msamehe tu mpenzi. Si unajua tena binadamu tulivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom