Kanifumania, nifanyeje anisamehe?

Kanifumania, nifanyeje anisamehe?

Ukiona mumeo amekwenda kula kwa mamantilie ujuwe mapishi yako sio mazuri. Na ukimuona amekucheat ujuwe kitandani haupo mzuri.

What I have learned is to let Jesus Christ to take control in everything , include marriage....Men will never satisfying .. Why? Because they are humans and there is nature inside of them... Kuna wengine wanafanyiwa vyote and still wana cheat wakiulizwa why they do it wanasema hawajui..but ukiwauliza hawaridhishwi wanasema hapana wanaridhishwa na wake zao then what the hell wrong with you all? Wanajibu hawajui why they do it .. So tell me kama sio mapepo na kutotosheka ni nini.. So you are wrong on that not all of them are complete satisfying kwa hivyo vitu ... . Thanks...
 
26 bado mdomo.. tafuta mwingine... wakuoa unamjua wewe... huyo siyo ndiyo maana kasepa... na wewe siyo ndiyo maana ume cheat.
 
Jamani! Jamani! Mda wote deile nawaona tu huku jukwaa la MMU, msisahau kuwa kuna majukwaa mengine pia yenye mada motomoto!!.... Kwenye jukwa la mambo ya sayansi kule leo tunadiscuss sayari fulani ambayo inaweza kuigonga dunia mda wowote kutoka sasa hivi na kusababisha majanga makuu ila nimefuatilia hakuna mdada hata mmoja amechangia kule, it is shame!
Haaahaaaa...I think here tunahitajika zaidi because majanga hayaishi..( just kidding ) Haaaaahaaa.... Thanks...
 
26yrs mbona bado yanki sana? Ushacheat wangapi? Wangapi walikusamehe? Wangapi walisepa? Wife material kwa namna gani? Wife material akikufumania yeye ndio anakuomba msamaha kwa kukufamania na mnaendelea happily ever after. Sasa huyu tena kwa picha tu kasusa afu unaita wife material? Cha kukushauri hapa mcheat tena kama mara tatu na akuone kabisa na akiendelea na wewe tangaza uchumba. Mwanaume wewe Mura. Au ndio wale wanaume wa Dar? Araaaaah
 
Picha za nini ukijua ana acces ya simu acha akuache tu hakun Namna uvune ulichpanda labda aamue yeye kukusamehe
 
Kosa kubwa ulilolifanya Ni kukubali kosa..we Omba msamaha hadi atakubali Ila uwe unalideny kosa polepole, usichoke kuomba msamaha kila mda hadi ajue upo serious
Hahaha soo true if you make a mistake out of audacity correct it with more audacity,uki kubali kosa utazidi muumiza na hatokusamehe ww endelea kubisha ata elewa tu
 
26Yers old bado unaenda gest unapiga picha afu unaziacha kwa smu yako nyie ndo mnalianzishaga jina la WANAUME WA DAA
 
I honestly if I was her... I wouldn't take you back.. Dear you didn't love her or thought that she was a wife material .. If you did love her and want what the best for her usingefanya hivyo ulivyofanya to her.. Honestly you deserve kuachwa dear ... Si ulimuona Ex wako wa thamani go and marry her then.. People like you mnaniuziiiii hadi basi... Aghhrrr... Leave her alone .. Maana some of you guys mkishaanzaga kucheat na Ex it will always be like that who wants kuumizwa kila wakati na kupotezewa muda ... Jenga msimamo dear , just for you to sleep with your Ex it shows that how weak you are .. Msimamo zero.. Don't play with women's heart.. It will cost you one day ... Think what you want first before hujaenda kummbugudhi dada wa watu ... Take care.. Thanks..


Thanks to hizi shule za 'Inglish Midiamu' zinatuzalishia mabinti wenye uzungu mwingi, wanamwita kila mtu 'Dear'
 
Hahaaaa... Nzuri mpendwa.. Happy Sunday.. Kuchitiwa inauma sana Kaka unless kama hujammpenda yule mtu , sijui wengine but to me inauma kuchitiwa .. No hakuna cha kupitiwa wala shetani alinipitia , maana these are excuses cheaters are using, Noooo kwa kweli .. Haiwezekani nijitunze andthen mwenzangu hajitunzi anatembeza tuu like a new car , once I know I am gone for good.. Halafu haajamuoa amefanya hivyo je akija kumuoa si ndio headaches every day ,mmh uuh, uuh No, no, no.. I pray that huyo Dada not to take him back .. But aamsamehe tuu.. Thanks..
Kuchitiwa inauma saana haswaaa anaekuchti akiwa mnafiki tena kwa mgongo wa dini atiii, ,,, lakini wewe kumchiti unaelala nae hapo swadaataaa
Aaaaahhhh
Huyu Mungu aitwe Mungu tu maana kwa unafiki wetu huu ni hatareeee.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kuchitiwa inauma saana haswaaa anaekuchti akiwa mnafiki tena kwa mgongo wa dini atiii, ,,, lakini wewe kumchiti unaelala nae hapo swadaataaa
Aaaaahhhh
Huyu Mungu aitwe Mungu tu maana kwa unafiki wetu huu ni hatareeee.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Haaahaaa.... I see you can't do nothing in this world without chasing after Loveissweet haahaaahaa..... Get your facts straight before you jump on the Train that you don't know where it came from and where is going...hahaaahaaaa
.... Stresses + Depression = Mental Retardation Development Disability..... Soon we will find you in the dumpster eating Trashes .. Depression hurts , Cymbalta can help you.... .. Haaaahaaa,... Nimekustawi na kukuvumilia kwa siku nyingi Sana more than a year but you are keeping push it.. Umeharibu kote , ukaona uliowadanganya wameshakujua who you real are , now you come to me again psycho, okay ... Keep push it and then you will see the real result pretty soon for you and huyo mwenzio niliyemstahi for the long time , a Pschopathy woman with low selfsteem ..... I see now you are using Jf as your communication , haahaaaa.... Usilolijua kweli ni usiku WA Giza kwako .. Just ask, stop guessing .. If you don't know, you don't know tuu.. Stop being smart while you are not, are you a Psychopathy woman, or a man now? Haaahaaaa .. I see you are missing an old life huuh.... Get a new life the old one was oveeeeeer for you ( you wish the old life to come back to you but its impossible huh .. ) . Ukilala unamuwaza Loveissweet ( who has never tracked you down or contact you , but you always do ) , ukiaamka unamuwaza Loveissweet ( who has never had business with you ) , haya come basi to my place so you can be my house maid ,and then you wouldn't need a Jf for the communication.....) A Psychopathy woman who has nothing to do , except being a Puppy... Yes.. Thats what you are... MTU mmzima ovyooo, kushindana na age isiyo size yako and not the same, idiot. You are too old .. Quote and this one too ... Umenichefua today , you wait and see .. Take your menopause , gray hair , stresses, bipolar ,depression and nonsense zako somewhere else but not here ......Thanks,..
 
Kwanza sorry to say this ur not a MAN enough,unakulaje matapishi yako? huyo umesha muacha kwa ridhaa yako hukulazimishwa sasa umempata unaesema anakufa pia huridhiki halafu unasema unampe ivi unajua kupenda kweli
au unasikia watu wakisema na wewe unasema? yani matamani nikutafune masikio yako kwa tabia yako mbaya
ya ku cheat,sasa sikia nenda kamnunulie Cheni ya Dhahabu gram 20 umepeleke uombe msamaha atakusamehe
na yeye nxt time mwambie asipekure cm ya mwanamme atakufa mapema kwa BP bure...
 
Wewe uachwe tu. Unakamatwaje kiboya hivyo? Ukiwa unacheat unatakiwa uwe na akili za ziada mkuu.
Umeshindwa hata kuandaa uongo wa kujitetea.
Ushauri akikusamehe usirudie tena. Hakuna kitu wanawake hawapendi mno kama kudanganywa. Keep it in mind
 
Back
Top Bottom