Kanifumania, nifanyeje anisamehe?

Kanifumania, nifanyeje anisamehe?

I am 26 years.

Nimekutana na sista mmoja nae 26 years, nimempenda..

Sasa habar ni kuwa amekuta picha za demu wangu wa zaman kwa cm yangu. Tena nilimpiga tukiwa guest house.
Nisiongope, kifup ni kuwa nimem cheat...

Hivo, ameamua kuvunja rasmi mahusiano Namie, amesema niendelee na huyo ex girl wangu..

Lakin mie huyu ndo naona mwanamke wa kuoa, yule wa zaman cna mpango nae wa maisha. Huyu ndio naona ananifaa jaman (msema KWELI mpenz wa Mungu)

Je niendelee kukomaa kuomba msamaha?? Ama ndo bas tena cna changu... Nitasamehewa KWELI wadau???

USHAURI wenu muhim.
MNUNULIE BMW S6 KATIKA SIKU YAKE YA KUZALIWA
 
Duu kweli maajabu unapiga picha guest ili iweje ukumbusho au vipi
Hapo ushapoteza tafuta mwingine
 
I am 26 years.

Nimekutana na sista mmoja nae 26 years, nimempenda..

Sasa habar ni kuwa amekuta picha za demu wangu wa zaman kwa cm yangu. Tena nilimpiga tukiwa guest house.
Nisiongope, kifup ni kuwa nimem cheat...

Hivo, ameamua kuvunja rasmi mahusiano Namie, amesema niendelee na huyo ex girl wangu..

Lakin mie huyu ndo naona mwanamke wa kuoa, yule wa zaman cna mpango nae wa maisha. Huyu ndio naona ananifaa jaman (msema KWELI mpenz wa Mungu)

Je niendelee kukomaa kuomba msamaha?? Ama ndo bas tena cna changu... Nitasamehewa KWELI wadau???

USHAURI wenu muhim.
Kama uliyajua yote hayo ya kuwa yeye ndo wa maisha ulienda kutafuta nini guest na x wako? Anyways mwambie ulipenda tenda ya kushirikishwa bongo movie na hizo picha ni za scene ya kuwa guest na huyo ex ni muigizaji mwenzio.
 
Forgive yourself,that can be enough! You cheated
 
Hahaaaa... Nzuri mpendwa.. Happy Sunday.. Kuchitiwa inauma sana Kaka unless kama hujammpenda yule mtu , sijui wengine but to me inauma kuchitiwa .. No hakuna cha kupitiwa wala shetani alinipitia , maana these are excuses cheaters are using, Noooo kwa kweli .. Haiwezekani nijitunze andthen mwenzangu hajitunzi anatembeza tuu like a new car , once I know I am gone for good.. Halafu haajamuoa amefanya hivyo je akija kumuoa si ndio headaches every day ,mmh uuh, uuh No, no, no.. I pray that huyo Dada not to take him back .. But aamsamehe tuu.. Thanks..
Jamani! Jamani! Mda wote deile nawaona tu huku jukwaa la MMU, msisahau kuwa kuna majukwaa mengine pia yenye mada motomoto!!.... Kwenye jukwa la mambo ya sayansi kule leo tunadiscuss sayari fulani ambayo inaweza kuigonga dunia mda wowote kutoka sasa hivi na kusababisha majanga makuu ila nimefuatilia hakuna mdada hata mmoja amechangia kule, it is shame!
 
Hahaaaa... Nzuri mpendwa.. Happy Sunday.. Kuchitiwa inauma sana Kaka unless kama hujammpenda yule mtu , sijui wengine but to me inauma kuchitiwa .. No hakuna cha kupitiwa wala shetani alinipitia , maana these are excuses cheaters are using, Noooo kwa kweli .. Haiwezekani nijitunze andthen mwenzangu hajitunzi anatembeza tuu like a new car , once I know I am gone for good.. Halafu haajamuoa amefanya hivyo je akija kumuoa si ndio headaches every day ,mmh uuh, uuh No, no, no.. I pray that huyo Dada not to take him back .. But aamsamehe tuu.. Thanks..
Ukiona mumeo amekwenda kula kwa mamantilie ujuwe mapishi yako sio mazuri. Na ukimuona amekucheat ujuwe kitandani haupo mzuri.
 
Jamani! Jamani! Mda wote deile nawaona tu huku jukwaa la MMU, msisahau kuwa kuna majukwaa mengine pia yenye mada motomoto!!.... Kwenye jukwa la mambo ya sayansi kule leo tunadiscuss sayari fulani ambayo inaweza kuigonga dunia mda wowote kutoka sasa hivi na kusababisha majanga makuu ila nimefuatilia hakuna mdada hata mmoja amechangia kule, it is shame!
Wazungu waongo nao unakumbuka Y2K,2012
 
I honestly if I was her... I wouldn't take you back.. Dear you didn't love her or thought that she was a wife material .. If you did love her and want what the best for her usingefanya hivyo ulivyofanya to her.. Honestly you deserve kuachwa dear ... Si ulimuona Ex wako wa thamani go and marry her then.. People like you mnaniuziiiii hadi basi... Aghhrrr... Leave her alone .. Maana some of you guys mkishaanzaga kucheat na Ex it will always be like that who wants kuumizwa kila wakati na kupotezewa muda ... Jenga msimamo dear , just for you to sleep with your Ex it shows that how weak you are .. Msimamo zero.. Don't play with women's heart.. It will cost you one day ... Think what you want first before hujaenda kummbugudhi dada wa watu ... Take care.. Thanks..
uyu atakua ndo uyoo unaempenda mana ameandika kwa mizuka balaa,,,,alaf izo her ziko kila mahali khaaa
 
Back
Top Bottom