Habari wana JF, jamani naomba mnisaidie katika hili nampenda sana shemeji yangu mpaka nimezaa nae na ananihudumia kwa kila kitu yan japo rafiki yangu hajui na bado tunawasiliana kama kawaida na rafiki yangu, nimwambie rafiki yangu au la, yeye bado kuolewa wala hana mtoto
Habari wana JF, jamani naomba mnisaidie katika hili nampenda sana shemeji yangu mpaka nimezaa nae na ananihudumia kwa kila kitu yan japo rafiki yangu hajui na bado tunawasiliana kama kawaida na rafiki yangu, nimwambie rafiki yangu au la, yeye bado kuolewa wala hana mtoto
unampenda shemeji na umezaa nae.... sasa binti unataka tufanyaje sasa kwa hili loh....!!!!! umezaa na shemeji yako na bado unaita shemeji huyo ni baba watoto wako ... muhimu mwambie rafiki yako uliomfanyia huo ushenzi ili ajue kuwa anabwana punguani na rafiki mwizi basi
Habari wana JF, jamani naomba mnisaidie katika hili nampenda sana shemeji yangu mpaka nimezaa nae na ananihudumia kwa kila kitu yan japo rafiki yangu hajui na bado tunawasiliana kama kawaida na rafiki yangu, nimwambie rafiki yangu au la, yeye bado kuolewa wala hana mtoto
..Kama hujawahi kufanya hivyo usijaribu, ni dhambi na Mungu anaichukia dhambi ya uasherati.Ni changamoto tu niliyotaka kuona ni wangapi wanabusara na ambao wapumbavu......Gud kwa mlio shauri vema kwa wenye matusi ni jinsi nao walivyowaza asanteni saana, HAYA NDO MAISHA WAZA KWAMBA SIKU MOJA INAWEZA TOKEA
urafiki sijui ushoga unaishia kwenye kula , kunywa na ushauri kuingiliana hadi sijui shemeji sijui nini? ni ujinga kabisa ndo kupena papuchiUmeona eee yaani ndio maana sipendi ushoga au urafiki unafki