Kaniambia niache Bangi

Kaniambia niache Bangi

Nasikia wavuta bangi huwa mpo vizuri kwa bed show show
Kuna vitu huwatokea:-
-mwili kupata ganzi.Hahisi chochote,
-damu imechemka.dushe lipo wima muda wote,ganzi + damu kuchemka,
-kichwa kuvurugika na hisia kwenda inversely proportional.Anaona kila kitu ni abnormal,
-mfikirie sasa atakapomkamata mwanamke itakuwaje!
 
Kuna vitu huwatokea:-
-mwili kupata ganzi.Hahisi chochote,
-damu imechemka.dushe lipo wima muda wote,ganzi + damu kuchemka,
-kichwa kuvurugika na hisia kwenda inversely proportional.Anaona kila kitu ni abnormal,
-mfikirie sasa atakapomkamata mwanamke itakuwaje!
Ndio maana kumbe
 
Nasikia wavuta bangi huwa mpo vizuri kwa bed show show
Uwe mtu wa mazoezi sasa maana ukianza kupiga pmb hukojoi hata lisaa na nusu na hamu inakua kuuuuubwaaaaaaaaa yaan unaweza wapanga hata watatu na ukawatoa jasho
 
Ukiona mwanamke anaanza kukupa masharti ili akupende, kimbia mapema hakuna mapenzi hapo. mapenzi sio uganga!

Kama mwanaume unatakiwa kufikiria kwa uwingi, wanawake wapo wengi atakuja atakaye kupenda wewe na ganja lako.
Upewe verification(bluetick) mapema.
 
Anayekushauri uache bhange anajema na wewe bhange sio mbaya kama utaivuta kistaarabu ila ina tabia ya kufanya mtu ajione yuko sawa kumbe anapotea. Mfano hai ni mleta mada anajiona yupo sawa ila akilini kushaingia mvuke mweusi jambo analoona la msingi ni kuvuta bhange ambayo inampunguzia uwezo wa kufikiri

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume anaevuta bangi ananisisimua sanaa, uwiiiiiih
niliwahi kukutana na mwanamke wa aina hii na alitumia nafasi yake mpaka niliacha bangi mazima 🤲🤲
na ndio mke wangu now
 
Anayekushauri uache bhange anajema na wewe bhange sio mbaya kama utaivuta kistaarabu ila ina tabia ya kufanya mtu ajione yuko sawa kumbe anapotea. Mfano hai ni mleta mada anajiona yupo sawa ila akilini kushaingia mvuke mweusi jambo analoona la msingi ni kuvuta bhange ambayo inampunguzia uwezo wa kufikiri

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kabisa si kila kitu nichakujaribu au kukiendekeza bangi inafukua vitu/tabia ambazo ni positive na negative zilizondani mwako inahitaji uwezo wa kuhandle outcome zote jambo ambalo si rahisi sana ukikaa vibaya tunakupoteza
 
Kuna vitu huwatokea:-
-mwili kupata ganzi.Hahisi chochote,
-damu imechemka.dushe lipo wima muda wote,ganzi + damu kuchemka,
-kichwa kuvurugika na hisia kwenda inversely proportional.Anaona kila kitu ni abnormal,
-mfikirie sasa atakapomkamata mwanamke itakuwaje!
Sitaki kabisa mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom