bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,453
- 6,953
Ulikuwa unampenda lakini bado hukuwa na uwamuzi.
Sasa mwenzako ameoa unaumia roho. Basi tena kama unampenda kwa dhati usimuharibie ndoa yake. Piga moyo konde uendelee mbele na maisha yako.
Sasa mwenzako ameoa unaumia roho. Basi tena kama unampenda kwa dhati usimuharibie ndoa yake. Piga moyo konde uendelee mbele na maisha yako.