pundadumeafrika
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 1,619
- 2,074
kkkkkk !List ya watuhumiwa wa utekaji wa Mo:
1. Jiwe
2.DAB
3.Kangi
jiwe !
kkkkkk !List ya watuhumiwa wa utekaji wa Mo:
1. Jiwe
2.DAB
3.Kangi
Mbona wanakupa condom kisha mnafanyana mpaka kwenye mikesha ya mwengeWewe ukiambiwa mwanaume mwingine aje aendeshe familia yako utakubali?
Dead brain.Wewe ukiambiwa mwanaume mwingine aje aendeshe familia yako utakubali?
Asilimia ngapi ya bajeti tunawategemea wao, mwanaume mwenye familia yake anayesaidiwa vyakula, madawa, maji, vyoo, miundombinu mingine na vitu vingine kibao naye anaweza sema ni mwanaume hadi ashindwe kuwaomba wamsaidie kutafuta mwanae aliyepotea? Haya ni maajabu.Wewe ukiambiwa mwanaume mwingine aje aendeshe familia yako utakubali?
Kinachoniudhi pale wanpotoa taarifa kwa wanachi kutoa taarifa polisi is matukio ya kijinga, double standardsSawa: Lakini wananchi wana mchango mkubwa katika kufanikisha kadhia hii.
Lakin vitu vingine quote anaomba kwa wanaume wenzakeNdiyo maana napinga wachunguzi wa nje. Maana mwanaume kamili husimama kama mwanaume.
Swali tukiacha kujadili tutapataje taarifa?Huenda intelijensia yetu imegundua kuwa kwa kila mjadala wa kuhusu MO utavyoanzishwa ndiyo watekaji wanampeleka mbali zaidi kwa hiyo ikisitishwa watabaki palepale na hivyo watawakamata na kumuokoa MO hebu tukubaliane na waziri ili apatikane
Kazi ikinishinda inabidi ..ili kuikoa isife na njaa au kadhia yoyote … ikibidi ndioWewe ukiambiwa mwanaume mwingine aje aendeshe familia yako utakubali?