Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,791
- Thread starter
- #41
Naona umejikakamua utafute cha kuandika mpaka umekipata.... Hongera kwa kuchangia mada japo nina hakika hujui ulichoandikaJoto lingekuwa limepoa usingeandika kuhusu kitu hicho. Ungelipiga kimya kama ambavyo hamuandiki chochote kuhusu kesi mlizodanganywa kupelekwa The Hague! Ahahahahahahahah