Kanda ya ziwa zinaitwa sungwi,huko pengine zinaitwaje?

Nilizikuta musoma kwa mara kwa Mara ya kwanza... Sijawah kuziona moshi... Musoma niliziona muda mrefu tu ila sikujarib kuzila... Kwa Mara nyingine nikazikuta iringa mshikaj akanunua na kutugaia sito..... Kwa Mara ya kwanza nazitia mdomoni nilizitema kimya kimya na kumpatia jamaa wakarib yangu.. Nilitema mate na kustaajab walaj wake... Ki ukweli sikuzipenda na niliwashangaa tu walaji.
 
Tulizita sungwi,zipo za aina mbili ukiacha hizi zile nyeusi ni tamu sana.Wamama wanapendelea sana,watoto tulipenda zaidi mbegu zake kuchonga(kufora) Monjo za kuchezea(kupigamisha).

Kwa sasa ninamda sana sija zitia machoni!
Wamama siku hizi hawali ukiacha watoto kuacha kuzichezea kama awali.

Wanawake wa maisha chini siku huzi wanakula lollipops(pipi kijiti) huku watoto wakiokota makopo mitaani.

Kuhusu wakishua wake kwa watoto sijui substitute yao nafikili watakua Play stations

Dah utoto wa kipindi hicho acha tu,nakumbuka nilikua na Monjo yangu Dume kweli nilifanikisha kulifora kwa umahili wake nikiliachia Pank kwa juu pigaa mitaa mitatu yote acha ule wa kishua!
 
Ajabu, tunda moja majina mengi hivyo kwanini yasiwe na jina moja tu nchi nzima?
Kuanzia leo ni Ntalali nchi nzima
 
Huku kwetu Unyanyembe ... Mboka Manyema!!! ... Tabora Moja tunaita Ntalali ... tunda flani hivi amazing ... lina heshima yapekee usishangae yaani mtu anamka asubuhi kabla ya mswaki anatupia mbegu kazaa kusisimua mwili ...

Tunalitumia kama kiburudisho wakati wowote ... katika msimu wake ... pia ni dawa ya kikohozi chakuwasha ... zaidi ya yote Broo!!! hii kitu ni mujarabu sana kwa wale wenye matatizo ya figo au mkojo mchafu ... zote 9 kunamchanganyiko wake na namna ku tengeneza kinatokankitu zaidi ya VIAGRA ... Salam kwao Tumbi, Ilolangulu, Manoleo, Itaga, Igombe, Misha, Usagali, Kalunde, Masangi, Izimbili, Mabama, Igalula, Igoko, Magili, Goweko, Isikizya, Usule, Kakola ... pia Uyui, Nzega, Igunga, Urambo ... bila kusahau wale Gongoni, Bachu, Kanyenye, Ng'ambo, Isevya, Ipuli, Cheyo, Chemchem, Kiloleni, Mbugani na Tambuka Reli ... Hasa Rufita, Kapembe, Usagara, Liwali, MZA Road, Bachu ....
 
Nilizikuta musoma kwa mara kwa Mara ya kwanza... Sijawah kuziona moshi... Musoma niliziona muda mrefu tu ila sikujarib kuzila... Kwa Mara nyingine nikazikuta iringa mshikaj akanunua na kutugaia sito..... Kwa Mara ya kwanza nazitia mdomoni nilizitema kimya kimya na kumpatia jamaa wakarib yangu.. Nilitema mate na kustaajab walaj wake... Ki ukweli sikuzipenda na niliwashangaa tu walaji.
Kwani ni ni hizo hata sijazijua ziko kama mayai yalochomwa jikoni kwenye mkaa
 
Huku kwetu Unyanyembe ... Mboka Manyema!!! ... Tabora Moja tunaita Ntalali ... tunda flani hivi amazing ... lina heshima yapekee usishangae yaani mtu anamka asubuhi kabla ya mswaki anatupia mbegu kazaa kusisimua mwili ...

Tunalitumia kama kiburudisho wakati wowote ... katika msimu wake ... pia ni dawa ya kikohozi chakuwasha ... zaidi ya yote Broo!!! hii kitu ni mujarabu sana kwa wale wenye matatizo ya figo au mkojo mchafu ... zote 9 kunamchanganyiko wake na namna ku tengeneza kinatokankitu zaidi ya VIAGRA ... Salam kwao Tumbi, Ilolangulu, Manoleo, Itaga, Igombe, Misha, Usagali, Kalunde, Masangi, Izimbili, Mabama, Igalula, Igoko, Magili, Goweko, Isikizya, Usule, Kakola ... pia Uyui, Nzega, Igunga, Urambo ... bila kusahau wale Gongoni, Bachu, Kanyenye, Ng'ambo, Isevya, Ipuli, Cheyo, Chemchem, Kiloleni, Mbugani na Tambuka Reli ... Hasa Rufita, Kapembe, Usagara, Liwali, MZA Road, Bachu ....
Umenikumbusha kipindi cha kutuma salaam redio Tanzania.
 
Back
Top Bottom