johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,528
- Thread starter
- #41
CCM haina udini japo iliasisiwa na mujahideen Kule TAANa kwa kuwa idadi ya Wagalatia ni wengi, basi hapo hakuna harufu ya udini.
CCM haina udini japo iliasisiwa na mujahideen Kule TAANa kwa kuwa idadi ya Wagalatia ni wengi, basi hapo hakuna harufu ya udini.
kujisema au kuijsikia au kusemezana kwa kisukusuHata kampuni yake inaitwa QIHAYA(KWIHAYA)! Anaweza kuwa Musukuma kweli!
Hovi Sukuma gang ni mtu yeyote msukuma au anaetokea kanda ya ziwa?Good news for sukuma gang lkn hawatatoboa.
Kwa hiyo Kina Musiba ruksa kuendelea na hii kitu ?Kwa haraka nimewaona Mzee Wasira, Waziri Bashungwa, Chacha Mwita Wambura, Askofu Gwajima,Dr Musukuma, Dr Mabula nk nk
Hakika Mmetisha ila sisi Iringa tumetoa Namba 1 Mzee wa Nguzo na Namba 6 mstaafu Kasesela na sisi tumetisha sana!
Mlale unono!
Yeyote aliyekuwa mfuasi mtiifu wa jini jiwe ni sukuma gang. Ktka hawa waliotajwa ni mzee Wasira tu ndiyo siyo sukuma gang: Mzee Wasira, Waziri Bashungwa, Chacha Mwita Wambura, Askofu Gwajima,Dr Musukuma, Dr Mabula nk nkHovi Sukuma gang ni mtu yeyote msukuma au anaetokea kanda ya ziwa?
Magufuli's people party ✅Kwa hiyo Kina Musiba ruksa kuendelea na hii kitu ?View attachment 2439192
Hao akili zao huwa ziko tengeWewe ukisema kanda ya ziwa imetisha sio ukabila ....
Udini Tanzania ni Kwa dini moja tu?madhehebu mengine hakuna shida?
MBONA huyo wa iringa naye kwao huko huko Mzee baba!!Kwa haraka nimewaona Mzee Wasira, Waziri Bashungwa, Chacha Mwita Wambura, Askofu Gwajima,Dr Musukuma, Dr Mabula nk nk
Hakika Mmetisha ila sisi Iringa tumetoa Namba 1 Mzee wa Nguzo na Namba 6 mstaafu Kasesela na sisi tumetisha sana!
Mlale unono!
Jina tuMBONA huyo wa iringa naye kwao huko huko Mzee baba!!