johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,528
Kwa haraka nimewaona Mzee Wasira, Waziri Bashungwa, Chacha Mwita Wambura, Askofu Gwajima,Dr Musukuma, Dr Mabula nk nk
Hakika Mmetisha ila sisi Iringa tumetoa Namba 1 Mzee wa Nguzo na Namba 6 mstaafu Kasesela na sisi tumetisha sana!
Mlale unono!
Hakika Mmetisha ila sisi Iringa tumetoa Namba 1 Mzee wa Nguzo na Namba 6 mstaafu Kasesela na sisi tumetisha sana!
Mlale unono!