Kanda ya Ziwa yaongoza WaNEC taifa!

Kanda ya Ziwa yaongoza WaNEC taifa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,528
Kwa haraka nimewaona Mzee Wasira, Waziri Bashungwa, Chacha Mwita Wambura, Askofu Gwajima,Dr Musukuma, Dr Mabula nk nk

Hakika Mmetisha ila sisi Iringa tumetoa Namba 1 Mzee wa Nguzo na Namba 6 mstaafu Kasesela na sisi tumetisha sana!

Mlale unono!
 
Kwa haraka nimewaona Mzee Wasira, Waziri Bashungwa, Chacha Mwita Wambura, Askofu Gwajima, Dr Mabula nk nk

Hakika Mmetisha ila sisi Iringa tumetoa Namba 1 Mzee wa Nguzo na Namba 6 mstaafu Kasesela na sisi tumetisha sana!

Mlale unono!

Mzee wa nguzo ni msukuma mzee bado mahenda analalia usukumani, kasesela kwao tukuyu iringa kajibanza tu hamna chenu
 
Kwa haraka nimewaona Mzee Wasira, Waziri Bashungwa, Chacha Mwita Wambura, Askofu Gwajima, Dr Mabula nk nk

Hakika Mmetisha ila sisi Iringa tumetoa Namba 1 Mzee wa Nguzo na Namba 6 mstaafu Kasesela na sisi tumetisha sana!

Mlale unono!
Huyono.
Kwa haraka nimewaona Mzee Wasira, Waziri Bashungwa, Chacha Mwita Wambura, Askofu Gwajima, Dr Mabula nk nk

Hakika Mmetisha ila sisi Iringa tumetoa Namba 1 Mzee wa Nguzo na Namba 6 mstaafu Kasesela na sisi tumetisha sana!

Mlale unono!
Huyo number 1 ni mzaliwa wa Iringa?Au business tu zilimpeleka kule.
 
Hahaha........ Kasesela anagombea ubunge Iringa Mjini 2025

Hilo atoe kichwani kwanza kwa vagaya sida hawezi kutoboa hata msigwa akirudia hawezi kutoboa jesca aende kwao ubenani pale 2025 wanataka muhehe mwenzao amini hilo
 
Mahenda alipata connection kimchezo akasambaza nguzo za umeme bongo, mara tenda ya nguzo za simu naumeme zambia, mara kateka sadc yote magu akiwa engineer, naona anakuja mchaga derm na nguzo za zege lakini bado sio tishio watagawana riziki
 
Halafu wanec ambao sio wabunge wanaenda kupata ubunge next election
 
Back
Top Bottom