boyfriendy
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 1,989
- 1,033
Jamaa anaweza goma kutoa funguo za ikulu yakatokea ya akina nkurunzinza
Wakaz wa kanda ya ziwa tunakumbuka sana juhud za Edward Lowassa alivyofanikisha kutuletea maji kutoka ziwa victoria baada ya kilio cha muda mrefu, tutatoa shukran zetu kwake tar 25 October...Ziara yake ukanda huu yatakua mafuriko zaidi ya Dar,Karibu shujaa wetu
Asanteni sana ukanda wa ziwa kwa kujiunga katika mkakati wa mabadiliko.
Tuko pamoja.....
#PamojaTutashinda .
Mikoani sina tatizo nako.
Nataka mikoa ya tanga, pwani, dar, lindi na mtwara wawe chini ya ukawa,
Mkutano wa mbunge wa Nyamagana ulizidi mapokezi ya .Magufuri pamoja na kusomba watu. Mimi niko Geita kwa sasa watu hawana habari na Makufuri kabisa hata Chato kwao yuko chini ya CHADEMA kuanzia mkuu wa mtaa mpaka diwani.Hayo unayasema wewe njoo Kanda ya ziwa uone sio unaongea
Nimekuja Kahama hapa Lowasa ndio habari ya Mjini. Mafuriko ya jans Dar tumeyaona kwenye ITV japo umeme ulikatwa siku nzima
Karibu A.town Lowasa home sweet home atutakubali dar watudhalilishe namna hiyo na atown ndio kitovu cha mabadiliko lazima tuwalipe na riba juu.
Wakaz wa kanda ya ziwa tunakumbuka sana juhud za Edward Lowassa alivyofanikisha kutuletea maji kutoka ziwa victoria baada ya kilio cha muda mrefu, tutatoa shukran zetu kwake tar 25 October...Ziara yake ukanda huu yatakua mafuriko zaidi ya Dar,Karibu shujaa wetu
mradi wa ziwa Victoria alianza nao mwinyi na mkapa akaumalizia lowasa akiwa waziri sio juhudi Zake bana kila kitu kakikutaWakaz wa kanda ya ziwa tunakumbuka sana juhud za Edward Lowassa alivyofanikisha kutuletea maji kutoka ziwa victoria baada ya kilio cha muda mrefu, tutatoa shukran zetu kwake tar 25 October...Ziara yake ukanda huu yatakua mafuriko zaidi ya Dar,Karibu shujaa wetu