ni kweli kabisa kwa sasa niko musoma (bwai) hawataki hata kumsikia huyo kiumbe
labda kusini ya hapo lizaboni tu,mtwara hatutaki hata kuiona sura yake huyo makomeo wenuBy the Way tunamtsfuta Rais wa nchi na si wa Kanda ya Ziwa. Kama ninyi huko hamumtaki, sisi huku Kusini tunamhitaji sana Jembe Magufuli. Katujengea barabara ya Lami toka Peramiho hadi Mbinga. Barabara ya lami toka Songea Mjini hadi Namtumbo. Ujenzi wa Barabara toka Mbinga hadi Mbambabay unaendelea. Na kutoka namtumbo hadi Tunduru na toka Tunduru hadi Mangaka. Magufuli ana mtaji wa kura nyingi za wananchi kwa vile kafanya mambo mengi makubwa. Ila mijizi, majambazi na wahalifu kama ninyi wavuvi haramu ndo mnaleta za kuleta. Hahitaji kura za wavuvi haramu, majizi na majambazi. Hapa kazi tu
Wakazi wa Kanda ya Ziwa tunakumbuka sana juhudi za Edward Lowassa alivyofanikisha kutuletea maji kutoka ziwa Victoria baada ya kilio cha muda mrefu, tutatoa shukrani zetu kwake tarehe 25 Oktoba.
Ziara yake ukanda huu yatakua mafuriko zaidi ya Dar,Karibu shujaa wetu.
WanaJF, salaam!
Hapa naandika nikiwa Nyamagana Mwanza, nimetoka Airport kote nilikopita wakazi takribani 6 kati ya 10 wanasema kwamba MAGUFULI ni mtu wa aina yake kwa roho mbaya. Wamesema kuwa wakati akiwa UVUVI alizamisha boat za wavuvi bila kujali kwamba wavuvi hao wana watoto wanaowategemea. Aidha, katika eneo la Airport wamesema kuwa Wakati akiwa WAZIRI wa UJENZI aliwabomolea nyumba zao bila huruma na kwa fidia kidogo mpaka MIZENGO PINDA alipomwamuru awe na huruma na nyumba hizo.
Kutokana na hali hiyo wamesema kuwa LOWASSA ndiye tegemeo lao na kuwa wako tayari kupiga kura na kuzilinda dhidi ya hujuma mbaya. Wameapa kwamba watamlipa kwa matendo yake
Wakazi wa Kanda ya Ziwa tunakumbuka sana juhudi za Edward Lowassa alivyofanikisha kutuletea maji kutoka ziwa Victoria baada ya kilio cha muda mrefu, tutatoa shukrani zetu kwake tarehe 25 Oktoba.
Ziara yake ukanda huu yatakua mafuriko zaidi ya Dar,Karibu shujaa wetu.
Tatizo La Wabongo Linakuja Pale Mtu Anaposimamia Sheria..Na Ndo Tatizo La Watz Hatupend Watu Wanaosimamia Sheria,na Huo Ndio Mwanya Wanaotumia Watumish Weng Kufilisi Nch Kwa Rushwa Na Ufisadi......!!!!
Wewe jamaa mjinga sana unadhani watu wa kanda ya ziwa ni kama nyie wa huko kibosho na kishumundu? Kaeni na hilo fisadi lenu sisi huku ni magufuli tu basi.Ccm wanavyo aidi as if hawajawahi kuwa madarakani