Kanda ya Magharibi makao makuu CHADEMA mmetukwaza

Kanda ya Magharibi makao makuu CHADEMA mmetukwaza

wadabali

Member
Joined
Jan 20, 2013
Posts
9
Reaction score
1
Watu tumekuwa na hamasa kubwa tangu utaratibu wa uzinduzi wa kanda ya magharibi ambayo inaundwa na mikoa ya TABORA,KIGOMA,RUKWA NA KATAVI ulipotangazwa lakini leo ni mara ya pili kuhahirisha mkutano wa uzinduzi ndiyo maana tumekwazika sana kwa athari zake ni kama zifuatazo

(1)Viongozi wanapewa lawama

(2)wadau wanahisi kubaguliwa na upendeleo kwani mikoa hii hasa TABORA viongozi wa kitaifa wamekuwa wagumu kufika.

Hivyo kama makao makuu tunaomba ufafanuzi kwani sababu ambazo viongozi wanatupa kupitia kwa KANSA MABAROUK,m/kiti wa mkoa kuwa kwa sababu m/kiti taifa ana ugeni jimboni kwake wadau tunaona hazina mashiko kwani chama ni taasisi kama yeye hayupo atume mwakilishi.
 
Watu tumekuwa na hamasa kubwa tangu utaratibu wa uzinduzi wa kanda ya magharibi ambayo inaundwa na mikoa ya TABORA,KIGOMA,RUKWA NA KATAVI ulipotangazwa lakini leo ni mara ya pili kuhahirisha mkutano wa uzinduzi ndiyo maana tumekwazika sana kwa athari zake ni kama zifuatazo(1)Viongozi wanapewa lawama(2)wadau wanahisi kubaguliwa na upendeleo kwani mikoa hii hasa TABORA viongozi wa kitaifa wamekuwa wagumu kufika,hivyo kama makao makuu tunaomba ufafanuzi kwani sababu ambazo viongozi wanatupa kupitia kwa KANSA MABAROUK,m/kiti wa mkoa kuwa kwa sababu m/kiti taifa ana ugeni jimboni kwake wadau tunaona hazina mashiko kwani chama ni taasisi kama yeye hayupo atume mwakilishi.
 
Maneno mazito hayo, inabidi wahusika watoe taarifa makini. Huu ni wakati wa kutenda si kusogeza siku tena!!!
 
dah!mbowe umeacha watu solemba kaka weka mambo sawa au ulihofia wanyamwezi hawatajaza mkutano wako?
 
Naamini zipo sababu za msingi kabisa kuahirisha. maandalizi ya mkoa ama kanda yenyewe ni muhimu sana ktk kuamua kufanya uzinduzi si kukurupuka kama ccm ktk kutenda mambo.

......
Watu tumekuwa na hamasa kubwa tangu utaratibu wa uzinduzi wa kanda ya magharibi ambayo inaundwa na mikoa ya TABORA,KIGOMA,RUKWA NA KATAVI ulipotangazwa lakini leo ni mara ya pili kuhahirisha mkutano wa uzinduzi.

Ndiyo maana tumekwazika sana kwa athari zake ni kama zifuatazo

(1)Viongozi wanapewa lawama.

(2)wadau wanahisi kubaguliwa na upendeleo kwani mikoa hii hasa TABORA viongozi wa kitaifa wamekuwa
wagumu kufika,hivyo kama makao makuu tunaomba ufafanuzi kwani sababu
ambazo viongozi wanatupa kupitia kwa KANSA MABAROUK.

M/kiti wa mkoa kuwa kwa sababu m/kiti taifa ana ugeni jimboni kwake wadau tunaona hazina mashiko kwani chama ni taasisi kama yeye hayupo atume mwakilishi.
 
Usijali Mkuu yawezekana ni muingiliano tu wa ratiba!..ni matumaini yangu kwamba mtafikiwa kwani chadema ni chama cha watanzania wote hasa waliogoma kuonewa kama wewe!
 
Mkuu Wadabali, japo nachagua hapa kuheshimu haki yako ya maoni lakini kidogo hoja yako humu yaonekana kana kwamba hapa si mahala pake vile.

Watu tumekuwa na hamasa kubwa tangu utaratibu wa uzinduzi wa kanda ya magharibi ambayo inaundwa na mikoa ya TABORA,KIGOMA,RUKWA NA KATAVI ulipotangazwa lakini leo ni mara ya pili kuhahirisha mkutano wa uzinduzi ndiyo maana tumekwazika sana kwa athari zake ni kama zifuatazo

(1)Viongozi wanapewa lawama

(2)wadau wanahisi kubaguliwa na upendeleo kwani mikoa hii hasa TABORA viongozi wa kitaifa wamekuwa wagumu kufika,hivyo kama makao makuu tunaomba ufafanuzi kwani sababu ambazo viongozi wanatupa kupitia kwa KANSA MABAROUK,

m/kiti wa mkoa kuwa kwa sababu m/kiti taifa ana ugeni jimboni kwake wadau tunaona hazina mashiko kwani chama ni taasisi kama yeye hayupo atume mwakilishi.
 
Kama wewe ni kiongozi wa chama hukouliko ujuavyo wewe huo ndio utaratibu wa kuwasiliana na Ngome?
 
Soon nahamia hapo Tabora kikazi, nitahakikisha tunakiinua chama kwa nguvu zote!......
 
Ngome ya CCM ni Tabora! nasikia jamaa anakacha kuzomewa kwa kuogopa nguvu ya CCM,

nipo Tabora' pamoja na ukweli kwamba ccm ni wengi lakini hakunaga ujinga wa kuzomea hapa! Ninachokijua Chadema kwa sasa inapata wanachama na wafuasi wengi tu kwa sasa!
 
Niwaweke sawa wote:
@ kuna wanaosema eti Mwenyekiti kaogopa nguvu ya CCM, hiyo si kweli. Kama anabisha aliyechangia hili apandishe ubishi wake ili nimuanike hapa.
@ kuna anayesema amekwazika na kuahirishwa kwa uzinduzi. Naomba aweke jina lake kamili 'verified name' kama anajiamini na anaamini anachokisema.
@ nimshukuru aliyesema uzinduzi hautaki kukurupuka.

Mwisho, niwatake wanachama wenzangu wa CHADEMA kuwa wavumilivu sio kutuma malalamiko humu JF kama una jambo limekukwaza fika ofisini au mtafute kiongozi akupe utaratibu.

Salaam kwa CCM, kutufanya wanatabora tuishi maisha ya kufikilika kama nchi ya mfalme JUHA tumechoka na mwisho wenu unaanzia 2014.
 
Niwaweke sawa wote:
@ kuna wanaosema eti Mwenyekiti kaogopa nguvu ya CCM, hiyo si kweli. Kama anabisha aliyechangia hili apandishe ubishi wake ili nimuanike hapa.

@ kuna anayesema amekwazika na kuahirishwa kwa uzinduzi. Naomba aweke jina lake kamili 'verified name' kama anajiamini na anaamini anachokisema.

@ nimshukuru aliyesema uzinduzi hautaki kukurupuka.

Mwisho, niwatake wanachama wenzangu wa CHADEMA kuwa wavumilivu sio kutuma malalamiko humu JF kama una jambo limekukwaza fika ofisini au mtafute kiongozi akupe utaratibu.

Salaam kwa CCM, kutufanya wanatabora tuishi maisha ya kufikilika kama nchi ya mfalme JUHA tumechoka na mwisho wenu unaanzia 2014.

.......



Wanyamwezi wana msemo unasema,"kuvundika mfuru na mayanda.............................? muwe wapole fanyeni maandalizi ya nguvu tunakuja kuwashika magamba Tabora.
 
Back
Top Bottom