Easyway
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 2,606
- 3,702
Mwaka 2010 Mjengwa alikuwa Mkuu wa wilaya ya Mbinga.
Dr.Slaa alikuja Mbinga kupiga kampeni kesho yake Mjengwa akawauliza wasaidizi wake "nasikia Dr.Slaa hakupata watu wengi kwenye mkutano wake" huku akitabasamu wasaidizi wake nao wakamjibu kweli hakupata watu wengi.
Mjengwa alifanya mengi akiwa DC ambao yaliwanyima haki upinzani.
Hata hivyo kila zama na kitabu chake nakutakia mapumziko mema Mzee wangu Kanali mstaafu Edmund Ramadhani Mjengwa.
Dr.Slaa alikuja Mbinga kupiga kampeni kesho yake Mjengwa akawauliza wasaidizi wake "nasikia Dr.Slaa hakupata watu wengi kwenye mkutano wake" huku akitabasamu wasaidizi wake nao wakamjibu kweli hakupata watu wengi.
Mjengwa alifanya mengi akiwa DC ambao yaliwanyima haki upinzani.
Hata hivyo kila zama na kitabu chake nakutakia mapumziko mema Mzee wangu Kanali mstaafu Edmund Ramadhani Mjengwa.