Kamweeeee???

LA TOVI

Member
Feb 26, 2012
18
3
Kamwe jasili haachi asili asilani.
Na moshi huwezi kuuzuia kusambaa kwa kuufunika na shuka.

Mpiga kelele hanyamazishwi kwa kufungwa mdomo.
Nyani ni yule yule wazamani ndani ya msitu mpyaa.
Haina kwereee pamoja sana wana jamvi.

Mbisha hodi zaidi ya mara 3 ni mnafiki.

Sina budi kubisha hodi kama ilivyo desturi yetu bali wakati wa kuondoka huwa tofauti wengi hutupiwa vilago vyao nje na kufungiwa mlango kabisa na kuto pata nafasi hata ya kuaga au kusema neno la mwisho.
 
Dah wewe ni mwanamalenga au
Naona umekuja na gear ya ushairi na misemo...
anyway Karibu sana mkuu
 
Kamwe jasili haachi asili asilani.
Na moshi huwezi kuuzuia kusambaa kwa kuufunika na shuka.

Mpiga kelele hanyamazishwi kwa kufungwa mdomo.
Nyani ni yule yule wazamani ndani ya msitu mpyaa.
Haina kwereee pamoja sana wana jamvi.

Mbisha hodi zaidi ya mara 3 ni mnafiki.

Sina budi kubisha hodi kama ilivyo desturi yetu bali wakati wa kuondoka huwa tofauti wengi hutupiwa vilago vyao nje na kufungiwa mlango kabisa na kuto pata nafasi hata ya kuaga au kusema neno la mwisho.

Hongera malenga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom