😅😅😅amenishangaza kweli yani daa.wakati Kuna masela jioni ikiwadia vizuri milioni yake hi hapa kilaini tuu.kikubwa isitokee ajali nahata ikitokea sio gari zote😅😅
huyo mshamba haamini
Dah milioni kwa siku ni parefu kinoma[emoji28][emoji28][emoji28]amenishangaza kweli yani daa.wakati Kuna masela jioni ikiwadia vizuri milioni yake hi hapa kilaini tuu.kikubwa isitokee ajali nahata ikitokea sio gari zote[emoji28][emoji28]
huyo mshamba haamini
Mjomba mbona umenikasirikia kama nimekuomba kitu![emoji38] We hauko sawa kama siyo wale wa .. ....Milioni tu Kwa siku,
Kuna vijana wapo pale Kkoo wanaingiza zaidi ya million 30 Kwa siku na wametokea ku hustle vibaya.
Sio kama story ya huyu boya .
Story haina hata content.
Nimemuuliza tu mbona hujaeleza umetoka bush ya wapi ukaenda mji gani. Kashindwa kujibu eti atajulikana.
Haya nikamuuliza umefungua biashara gani? Kashindwa kutaja.
Huyo dogo ni mmoja ya watu wanaowapa vijana hope za uwongo eti wawe wavumilivu sijui nini sijui katumwa na wanasiasa.
Maisha ni hustling and discipline tu
Wewe fala nini nije PM kufanya nini, wewe si ndio umeleta story yako ya kipuuzi (kwako ni ya ukweli Unataka kuwahamasisha vijana wasikate tamaa).Kwa story yako ya kimagumashi.Mjomba mbona umenikasirikia kama nimekuomba kitu![emoji38] We hauko sawa kama siyo wale wa .. ....
Nilikuambia ikiwa Kuna unachotaka kueleweshwa kwa ushahidi uje pm na swali ili nikupe ushahidi
Badala yake unakuja hapa na kauli zako za kejeli, ukijua nimetokea kijiji gani itabadilisha nini kwenye statement yangu!
Unakuja na stress hapa ukiwa mlevi huwezi elewa kitu rudia kusoma tena utaelewa maana yangu siyo kukufuraisha wewe wapo walionuelewa!
Wewe kweli hujielewi, sasa unahamasisha vijana wasikate tamaa halafu unashanga mtu kuingiza milioni Kwa siku, kuna watu wanaingiza zaidi ya milioni 30 Kwa siku .Dah milioni kwa siku ni parefu kinoma
Na pengine mtu mwenyewe unaweza Kuta wa kawaida sana Hana hata majivuno/maringo
Story yako haina mpangilio
Kwanza hujasema huo mji uliokwenda ni mji gani?
Hujataja biashara gani.
Umekuja kukimbilia kusema unasevu hela kiasi flani hujaeleza matumizi ni kiasi gani ( operation costs) huwezi tu ukawa unasave pesa.
Kwenye story yako uliandika unafanya kazi na biashara nilipokuhoji unawezaje kujigawa ndipo ukaja na version nyingine kwamba unakijana wa kazi.
Haujataja bidhaaa unazouza na najua huwezi kuzitaja manake ni uongo
Mwisho acha kudanganya kifala fala
Kuna bidhaa nyingine nyingi ambazo zinaweza kupatikana kwa bei rahisi kwa kutafuta katika machimbo. Kwa kuongezea, ninauza wine na spirit kwa bei rahisi kuliko bar, ambayo inavutia wateja wengi kuja kununua kwangu kuliko bar hasa wakati wa usiku
Mjomba Kwan una ugomvi na Mimi?Wewe fala nini nije PM kufanya nini, wewe si ndio umeleta story yako ya kipuuzi (kwako ni ya ukweli Unataka kuwahamasisha vijana wasikate tamaa).Kwa story yako ya kimagumashi.
Sasa hujatoa maelezo ya kutosha Unataka uaminiwe eti Kwa ufafanuzi nije PM.
PM siji tujadili hapa hapa live.
Kwa hiyo wewe pimbi umetoa fucking story ili watu wakufate PM ili utake kuwatapeli nini?
Ndio maana naendelea kukwambia story yako ina mapungufu makubwa na sio ya uhalisia Ninasema hivyo Kwa sababu ya critical thinking yangu.
Nakukemea acha kupotosha .
Kwa hiyo umetoa story ambayo haijajitosheleza mtu alitaka ufafanuzi akufate PM halafu Unataka story yako hiyo ihamasishe vijana.
Embu toa upuuzi wako hapa .
Pumbavu mikubwa wewe acha kulaghai vijana wewe waweza kuwa ni walewale matapeli wa kwenye mtandao
Kiukweli hapana hata nikikutana naye ananikwepaall the best, vip alokutosa stendi hajakupigia simu hadi leo?
Ukiona jambo halikuhusu liache upite tuWewe kweli hujielewi, sasa unahamasisha vijana wasikate tamaa halafu unashanga mtu kuingiza milioni Kwa siku, kuna watu wanaingiza zaidi ya milioni 30 Kwa siku .
Embu uwe unatunga story zako vizuri na ziwe za kihualisia .
Sasa motivational speaker unashangaa mtu kuingiza 1m Kwa siku sasa unahamasisha nini.
Badala ya kupongeza unashangaa yaani Mimi binafsi sikuelewi
Asante mkuuNi prifarensi ya mtu enewi hongera
Huyu ananikasirikia kama Kuna kitu nimemuomba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka utumiwe picha ya duka na location na hivyo vyote ili umjue kuwa ni nani?
Braza hii ni JF, ni mwendo wa kutojulikana tuuu basiiiii.
#YNWA
Nikafanya miezi 8 nikafungua biashara yangu ndogo nilikuwa nasave 5000 kila siku Bora nisile, baada ya muda huku nikiendelea na kazi yangu ile ile ya mwanzo biashara yangu ilizidi kupata kibali ikakua kadri siku zinavyozidi kwenda, nilifanikiwa kusave 12,000 kwa siku nikichangaya
sinikama wewe tuu unavyosema Kuna watu wanaingiza mamilioni kwasiku ila hujataja biashara wanazo fanyaMilioni tu Kwa siku,
Kuna vijana wapo pale Kkoo wanaingiza zaidi ya million 30 Kwa siku na wametokea ku hustle vibaya.
Sio kama story ya huyu boya .
Story haina hata content.
Nimemuuliza tu mbona hujaeleza umetoka bush ya wapi ukaenda mji gani. Kashindwa kujibu eti atajulikana.
Haya nikamuuliza umefungua biashara gani? Kashindwa kutaja.
Huyo dogo ni mmoja ya watu wanaowapa vijana hope za uwongo eti wawe wavumilivu sijui nini sijui katumwa na wanasiasa.
Maisha ni hustling and discipline tu
kabisa yani...Dah milioni kwa siku ni parefu kinoma
Na pengine mtu mwenyewe unaweza Kuta wa kawaida sana Hana hata majivuno/maringo
MkuuKumbe umesomesha mchumba? Hebu wape kaujumbe wale wanaosema mchumba hasomeshwi