Kamwe msitegemee maendeleo ya maana katika nchi ambayo...

Kamwe msitegemee maendeleo ya maana katika nchi ambayo...

Tatizo sio kusifia wala kuponda, tatizo ni kupost kila mara tena kwa vitu ambavyo hata haviitaji kupost mfano: hcho ulichopost sasa ivi kulikuwa na haja gani??
Kwani umelazimishwa kusoma thread zake ?
Watanzania wengine bwana.
 
Tatizo sio kusifia wala kuponda, tatizo ni kupost kila mara tena kwa vitu ambavyo hata haviitaji kupost mfano: hcho ulichopost sasa ivi kulikuwa na haja gani??
We ni nani wa kupima ubora wa mada humu na kwa kigezo gani ulichonacho?

Kama imekuuma vumilia.
 
We ni nani wa kupima ubora wa mada humu na kwa kigezo gani ulichonacho?

Kama imekuuma vumilia.
Sina ubora wa kupima mada, nakuweka tu sawa kuwa mambo mengine si lazima kupost!

Hakuna kilichoniuma, ila kuwekana sawa ni wajibu wa kila mwenye akili timamu
 
Sina ubora wa kupima mada, nakuweka tu sawa kuwa mambo mengine si lazima kupost!

Hakuna kilichoniuma, ila kuwekana sawa ni wajibu wa kila mwenye akili timamu
Endelea kuhangaika ila ukweli lazima usemwe.
 
The less intelligent people are in power and those less intelligent have option whether to take or ignore the advice or suggestions from the intelligent.[/QUOTE
Kuwa kwenye power tu inatosha mtu huyo kuwa mwenye akili, sasa wewe unayejiona una akili lakini hazijakusaidia kuwa na power, YOU ARE RUBBISH.
 
The less intelligent people are in power and those less intelligent have option whether to take or ignore the advice or suggestions from the intelligent.
ikumbukwe kwamba Matatizo hayawezi kumalizwa kwa kutumia akili zilezile zilizoyatengeneza
 
Chochote kinachowekwa jf ni lazima kisomwe, nachozungumzia mm ni kuwa kuna ulazima gani wa kupost jambo ambalo halikuhitaj post!
Sioni popote sheria za JF zimesema chochote kinachowekwa JF lazima kisomwe
 
Back
Top Bottom