Wanajamii Salaam!!
Ninatafuta kitabu kinachoelezea sifa mbalimbali za wanyama, ndege na reptilia pamoja na picha za viumbe hao.
Mfano. Sisi wakati tunakua mzee wetu alikuwa na kamusi ya nyoka (snakes dictionary) iliyokuwa inaelezea almost nyoka wote. Sifa zao, sumu zao, uzazi wao na maisha yao kwa ujumla.
Mwenye kujua wapi vinapatikana vitabu hivyo, naomba anijuze
Nawasilisha
Ninatafuta kitabu kinachoelezea sifa mbalimbali za wanyama, ndege na reptilia pamoja na picha za viumbe hao.
Mfano. Sisi wakati tunakua mzee wetu alikuwa na kamusi ya nyoka (snakes dictionary) iliyokuwa inaelezea almost nyoka wote. Sifa zao, sumu zao, uzazi wao na maisha yao kwa ujumla.
Mwenye kujua wapi vinapatikana vitabu hivyo, naomba anijuze
Nawasilisha