MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,512
- 15,125
Natekeleza mauaji na kupoteza ushahidi bila polisi kujua nicheck inbox kwa watu wa mikoani weka booking mapema
sio kupina HIV tu hata akili huu nao ugonjwaKila siku huwa mnaimbiwa wimbo mnapoanzisha mahusiano jambo la kucheki afya na kujua status zenu ni la muhimu sana nyinyi mnaangaliana kwa mwonekano wa nje mkijiona mmenawili mnajihisi ni wazima matokeo yake ndio hayo,sio mbaya mwambie jamaa ajikubari na maisha yaendelee.
Walau angekuwa hana wa kumlaumunafikili angemuweka wazi nini kingeendelea??
Una uhakika gani kama jamaa yako alikuwa hana. Huenda huyo dada ameviongezea tu kasi hivyo virusi.Ishu ni huyu aliyekuwa anaijua hali yake (alikuwa anatumia dawa) kutomweka waz mwenzi wake.ni uuaji huu.
Hata mi nasubiri jibuunafikili angemuweka wazi nini kingeendelea??