Kampuno ya AIFOLA yazisha uchafu ILALA

Bontowar

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2009
Posts
520
Reaction score
53
Hii kampuni ya AIFOLA PRIME TRADERS ltd imeanza kazi ya kukusanya takataka za majumbaji mwaka huu mwezi wa pili na kwa sasa wiki ya pili haujachikua taka mpaka zinatoka funza
Hivi wahusika wa serikali mpo wapi Au mpaka mtumbulie afisa afya haonekani hapiti kukagua Au mikataba ina harufu ya rushwa?
President JPM hawa ndio wanachelewesha kasi yako washughulikiwe
 

Attachments

  • DSC_0846.JPG
    136.8 KB · Views: 43
  • DSC_0845.JPG
    126.1 KB · Views: 48
  • DSC_0844.JPG
    117.9 KB · Views: 46
Tupo kwenye upembuzi yakinifu.Mtuvumilie funza wakue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…