KERO Kampuni za Simu zinatukata Mawalaka 20% kwa kutuma fedha nje ya Mkoa, huu si ni wizi huu?

KERO Kampuni za Simu zinatukata Mawalaka 20% kwa kutuma fedha nje ya Mkoa, huu si ni wizi huu?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Sisi Mawakala wa kutuma na kuweka fedha kwa njia ya simu hasahasa hizi kampuni mbili pendwa hapa nchini najua mtakuwa mmeshazifahamu, tuna kilio chetu kuhusu kampuni za simu, hizo mbili zinatukata kuanzia Asilimia 10 hadi 20 ya commission tunayostahili kupata kwa kufanya miamala nje ya mkoa.

Yaani wanachokifanya ni kwamba Mawakala wanatakiwa kuhudumia miamala ndani ya mkoa husika ambao wakala yumo, na sio kutuma pesa kwenda nje ya mkoa mwingine.

Hivi tunajiuliza nini maana ya biashara huru? Mtu wa Congo hatakiwi kununua mzigo Kariakoo?

Huu ni wizi ambao umekuja kwa gia ya maelekezo kwamba wanaita eti ni miamala batili, ndio mana wanaifyeka. Nini shida? Sheria gani hiyo na kwanini?
 
Sisi Mawakala wa kutuma na kuweka fedha kwa njia ya simu hasahasa hizi kampuni mbili pendwa hapa nchini najua mtakuwa mmeshazifahamu, tuna kilio chetu kuhusu kampuni za simu, hizo mbili zinatukata kuanzia Asilimia 10 hadi 20 ya commission tunayostahili kupata kwa kufanya miamala nje ya mkoa.

Yaani wanachokifanya ni kwamba Mawakala wanatakiwa kuhudumia miamala ndani ya mkoa husika ambao wakala yumo, na sio kutuma pesa kwenda nje ya mkoa mwingine.

Hivi tunajiuliza nini maana ya biashara huru? Mtu wa Congo hatakiwi kununua mzigo Kariakoo?

Huu ni wizi ambao umekuja kwa gia ya maelekezo kwamba wanaita eti ni miamala batili, ndio mana wanaifyeka. Nini shida? Sheria gani hiyo na kwanini?
unaishia kulalamika bila KUWATAJA we SEMA TU VODACOM ndio wana tabia hii! WANA TABIA ZA ENZI ZA UBAGUZI SOUTH AFRICA! VODACOM ma boss Wao kuna WASAUZI WENYE ASILI YA UHOLANZI ndio wanaofanya haya!
 
Sisi Mawakala wa kutuma na kuweka fedha kwa njia ya simu hasahasa hizi kampuni mbili pendwa hapa nchini najua mtakuwa mmeshazifahamu, tuna kilio chetu kuhusu kampuni za simu, hizo mbili zinatukata kuanzia Asilimia 10 hadi 20 ya commission tunayostahili kupata kwa kufanya miamala nje ya mkoa.

Yaani wanachokifanya ni kwamba Mawakala wanatakiwa kuhudumia miamala ndani ya mkoa husika ambao wakala yumo, na sio kutuma pesa kwenda nje ya mkoa mwingine.

Hivi tunajiuliza nini maana ya biashara huru? Mtu wa Congo hatakiwi kununua mzigo Kariakoo?

Huu ni wizi ambao umekuja kwa gia ya maelekezo kwamba wanaita eti ni miamala batili, ndio mana wanaifyeka. Nini shida? Sheria gani hiyo na kwanini?
Hujui Samia na Makonda wanatakiwa kununua magari ya kifahari kama Rolls Royce na Bentley?
 
Kila kazi ina changamoto yake sasa kila mtanzania akutane nacho ili tuwe wamoja dhidi ya hawa kupe
 
Sisi Mawakala wa kutuma na kuweka fedha kwa njia ya simu hasahasa hizi kampuni mbili pendwa hapa nchini najua mtakuwa mmeshazifahamu, tuna kilio chetu kuhusu kampuni za simu, hizo mbili zinatukata kuanzia Asilimia 10 hadi 20 ya commission tunayostahili kupata kwa kufanya miamala nje ya mkoa.

Yaani wanachokifanya ni kwamba Mawakala wanatakiwa kuhudumia miamala ndani ya mkoa husika ambao wakala yumo, na sio kutuma pesa kwenda nje ya mkoa mwingine.

Hivi tunajiuliza nini maana ya biashara huru? Mtu wa Congo hatakiwi kununua mzigo Kariakoo?

Huu ni wizi ambao umekuja kwa gia ya maelekezo kwamba wanaita eti ni miamala batili, ndio mana wanaifyeka. Nini shida? Sheria gani hiyo na kwanini?
 
Mkiambiwa tokemi kudai haki zenu mnasema hayawahusu Sasa tuliza matko kenge wewe
 
Unatumaje hela nje ya mkoa wakati mteja anapaswa kuwa hapo?
 
Achaga ushamba na wewe,mtu yupo kkoo akipokea hela toka Mbeya shida Iko wapi?

Sio utaratibu, Kuna ushamba halafu Kuna utaratibu; kasome masharti ya Biashara yako na sio kutujazia Seva na mambo ya Kipumbavu, au nenda ukalime matango!
 
Mimi nawaomba, mitandao ya simu kama wanavyofanya kwa wakala mkuu wa VODA na AIRTEL ukituma kwa wakala aliye mbali na wewe palepele wanakuonesha makato kwa utakayo katwa kwa wakala aliembali nawewe,wafanye kwetu tukitaka kutuma kwa mteja wa mbali
 
Back
Top Bottom