Hivi chanjo ya COVID -19 inayopigiwa chapuo na Mama Samiah &co ni ya version Gani ya virus?
Manake Kuna virus version 1 waliotokea Wuhan China,baadae ikaja version ya pili, baadae ya 3 sijui ndio Delta.Sasa hivi Kuna version ya 4, Omicron.
Sasa hizi chanjo za bongo zinapambana na virus Gani?