- Thread starter
- #21
Nashangaa thread kuhamishiwa kwenye business wakati inamhusu mwanasiasa mahiri. Hata hivyo wana JF ni vizuri wakaelewa kwamba huyu jamaa kila dakika huwa anakuja na mbinu mpya zaidi ya kuuibia nchi maana inasemekana pia kwamba kwa kushirikiana na TRA, kuna migawo wanaipata on a monthly basis kutoka katika makusanyo ya kodi. Sasa kwa syndication hii unategemea kuna mkubwa wa TRA ambaye atapaza sauti. Taarifa hizi nyeti zimevujishwa na wale wafanyakazi wa kada ya kati na wenye uchungu na nchi hii.