Kampuni ya Tanzania yafanya maajabu Marekani

Kampuni ya Tanzania yafanya maajabu Marekani

Tobido

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2010
Posts
331
Reaction score
76
Habari Wadau.

Kampuni ya Kitanzania ya Rasello imefanya maajabu kwa kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania taji la Kampuni bora inayochipukia yaani StartUp.

Ewe Mtanzania mwenzangu onyesha uzalendo kwa kuipigia kura kupitia hapa http://webitcongress.com/en/webit/2013/startupvote.html/264.

Kampuni ni ya Kitanzania na ofisi zipo Msasani.
Regards.
 
Ok.. Sawa lakini wakumbuke kuja kuwekeza huku kwetu sio muishie kujenga au kununua tu mijengo ya nguvu na ma lamborghnne huko mbele

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwanza hlo jambo c paala pake hapa, 2:hv hyo kampun ingukaja tanzania ingewanufaisha wangap hapa tz hambapo hela ya kusajilia hyo kampun unatengezeza kampun kubwa hapa tz na hyo capita ya kuifanya iingie kwenye kinyanganyilo ilkua yatosha kuifanya kama ilivokua Azam tz au hata viwanda vya sukar au pombe. Wiz m2pu.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
dunia imekuwa ya ajabu,,,yaani kampuni bora inapigiwa kura hawana vigezo vya kuchagua ? imekuwa big brother or pop idol
 
Yap uzalendo kwanza mengine yatafuata.. Lakini hebu tutonye hii kampuni ni ya Mh Nan?
 
Ndio kwanza naisikia,hv ingesajiliwa nchini si ingekua na faida kubwa taifa,kwann marekani?uzalendo ungeanza kwa wao kuisajili hyo campany hapa nyumbani
 
Ok.. Sawa lakini wakumbuke kuja kuwekeza huku kwetu sio muishie kujenga au kununua tu mijengo ya nguvu na ma lamborghnne huko mbele

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Usijali kaka. Kampuni ipo hapa hapa bongo na ina ofisi pale Msasani
 
Ndio kwanza naisikia,hv ingesajiliwa nchini si ingekua na faida kubwa taifa,kwann marekani?uzalendo ungeanza kwa wao kuisajili hyo campany hapa nyumbani

Kampuni ipo hapa hapa Tanzania. Ofisi zipo pale Msasani.
 
Kwanza hlo jambo c paala pake hapa, 2:hv hyo kampun ingukaja tanzania ingewanufaisha wangap hapa tz hambapo hela ya kusajilia hyo kampun unatengezeza kampun kubwa hapa tz na hyo capita ya kuifanya iingie kwenye kinyanganyilo ilkua yatosha kuifanya kama ilivokua Azam tz au hata viwanda vya sukar au pombe. Wiz m2pu.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Kampuni ipo hapa hapa Tanzania. Ofisi zipo pale Msasani.
 
Mmiliki ni nani hasa ili tujue anaisaidia vipi Tanzania kabla cc Watanzania hatujamsaidia
 
Habari Wadau.

Kampuni ya Kitanzania ya Rasello imefanya maajabu kwa kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania taji la Kampuni bora inayochipukia yaani StartUp.

Ewe Mtanzania mwenzangu onyesha uzalendo kwa kuipigia kura kupitia hapa The Global Webit StartUp Challenge Audience Award. Tafuta Rasello utaiona chini yake kukiwa na jina la nchi yetu nzuri Tanzania.

Kampuni ni ya Kitanzania na ina ofisi pale Msasani. Website ni http://www.rasello.com/

Regards.
duh kaz ipo,sasa mi ntapiga kura lakin sije ikawa hyo kampuni ni ya ujenz,manake wataenda jenga magorof yasiyo na viwango mwishowe wataishia jela,ci unajuw nchi za wenzetu hakuna usanii ,manake wabongo kw kuchakachua dunian hamna
 
Ndio kwanza naisikia,hv ingesajiliwa nchini si ingekua na faida kubwa taifa,kwann marekani?uzalendo ungeanza kwa wao kuisajili hyo campany hapa nyumbani

Kampuni imesajiliwa nchini na ofisi zake zpo msasani
 
Nmerekebisha link wakuu so hapo itakupeleka direct mahala pa kuvote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom