ragin
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,391
- 9,385
Harakati za umbea,,,Ulishuhudia halafu huna uhakika wa basi!! Ngorika au Buffalo?? 😂😂😂
Harakati za umbea,,,Ulishuhudia halafu huna uhakika wa basi!! Ngorika au Buffalo?? 😂😂😂
Yeah,sema hawa wanaomiliki safar Osaka kwann wasiyauze scrap kuliko kutia aibu paleHayo nadhan ni yale yaliyochoka hayawezi safari ndefu ....mabovu
Mkuu darasani ulikuwa unapata ngapi???Kuna siku nilishuhidia mubashara basi kati ya Ngorika au Buffalo liki overtake kwenye daraja la mto wami ambapo ni zaidi ya hatari na kinyume cha sheria.
Nikajiuliza na abiria walioko kwenye hilo basi wanajitambua kiasi gani mpaka kukubali mhuni kufanya attempt ya kutaka kuwaua?!
Watu wanaoweza kujibu swali hili ni wamiliki wa kampuni ya mabasi ya Kaprikoni.Naambiwa hizi gari zimepaki tu hapo mjini Moshi, yaani ni kama ziko juu ya mawe kwa mujibu wa mdau mmoja aliyekuwa huko Moshi. Hii kampuni ilikumbwa na nini wadau?
View attachment 1718039
View attachment 1718041
View attachment 1718043
Naambiwa hizi gari zimepaki tu hapo mjini Moshi, yaani ni kama ziko juu ya mawe kwa mujibu wa mdau mmoja aliyekuwa huko Moshi. Hii kampuni ilikumbwa na nini wadau?
Naambiwa hizi gari zimepaki tu hapo mjini Moshi, yaani ni kama ziko juu ya mawe kwa mujibu wa mdau mmoja aliyekuwa huko Moshi. Hii kampuni ilikumbwa na nini wadau?
View attachment 1718039
Naambiwa hizi gari zimepaki tu hapo mjini Moshi, yaani ni kama ziko juu ya mawe kwa mujibu wa mdau mmoja aliyekuwa huko Moshi. Hii kampuni ilikumbwa na nini wadau?
View attachment 1718039
View attachment 1718041
View attachment 1718043
Naambiwa hizi gari zimepaki tu hapo mjini Moshi, yaani ni kama ziko juu ya mawe kwa mujibu wa mdau mmoja aliyekuwa huko Moshi. Hii kampuni ilikumbwa na nini wadau?
View attachment 1718039
View attachment 1718041
View attachment 1718043
Naambiwa hizi gari zimepaki tu hapo mjini Moshi, yaani ni kama ziko juu ya mawe kwa mujibu wa mdau mmoja aliyekuwa huko Moshi. Hii kampuni ilikumbwa na nini wadau?
View attachment 1718039
View attachment 1718041
View attachment 1718043
Ngorika kama Ngorika Imekufa Waliobak ni Watt now kuna baadh wamekuja na Osaka na wengne Kapricon za Dar-Arsh Singd-Arus na Nyngne kaintroduce nyngne za Dar-MwzNaambiwa hizi gari zimepaki tu hapo mjini Moshi, yaani ni kama ziko juu ya mawe kwa mujibu wa mdau mmoja aliyekuwa huko Moshi. Hii kampuni ilikumbwa na nini wadau?
View attachment 1718039
View attachment 1718041
View attachment 1718043
Osaka Ni mtoto wa ngorika? SidhaniNgorika baada ya kufa mmiliki( mzee Mberesero) watoto waligawana hizo mali ndo unaona akina Osaka, Kimotco etc. Zipo kampuni kama 4 hivi.
So kampuni inaendelea kwa upande wa kampuni za watoto ila Ngorika kama Ngorika inaonekana kufa.
ufafanuzi mzuri sana huu lakin kama upo karibu na mmiliki wa kaprikoni mwambie nayakubali sana na huwa napanda kutoka iringa hadi moshi ndo usafiri wangu mwambie aweka gari la moja kwa moja kutoka mbeya hadi moshi maana ni muhuni sana ukipanda mbeya mkifika arusha usiku sa5 anawafaulisha kwenye costa moshi mtafika sa8 usiku na ukipanda moshi ukifika iringa sa2 anawafaulisha kwenye costa kufika mbeya sa9 usiku anaboa sana.kampuni ipo kwa majina ya watoto
sasa familia ya mberesero inaendelea kutamba kwa kupitia mabus ya watoto kama
freys
osacka raha
kaprikon
safari express
kimotco
huyu mzee kajitahid sana ,huu ukoo ni wa matajiri
Mwanae ndio yule gaidi alikamatwa kenya .wamempiga maisha in prison
Vinaja wanakwama sanaHuyo dogo sijui aliwaza nini yani?
Pesa zipo badala ya kukomaa na hela anatafuata misimamo mikali-itakua hayo yaliyobakia ndio yake Noma sana
Kama mabovu atugawie sisi WanyongeHayo nadhan ni yale yaliyochoka hayawezi safari ndefu ....mabovu
Dogo Alishajinyongaga kitambo.Mwanae ndio yule gaidi alikamatwa kenya .wamempiga maisha in prison
Yule sio mwanae. Kulitokea shida kidogo kwenye mirathi
Inaonekana chadema inakuwasha sana mpaka katikati ya makalioAcha kuwa namawazo mgando ya kichadema chadema, nani atakayepanda hayo mangarangara body nyundo wakati kuna basi nyingi nzuri full ac.,!?
Haya mabasi mawili yamepaki mkono wa kushoto nje kidogo ya mji wa Moshi kama unaelekea Bomang'ombe.Naambiwa hizi gari zimepaki tu hapo mjini Moshi, yaani ni kama ziko juu ya mawe kwa mujibu wa mdau mmoja aliyekuwa huko Moshi. Hii kampuni ilikumbwa na nini wadau?
View attachment 1718039
View attachment 1718041
View attachment 1718043
Kodi kodi kodiNaambiwa hizi gari zimepaki tu hapo mjini Moshi, yaani ni kama ziko juu ya mawe kwa mujibu wa mdau mmoja aliyekuwa huko Moshi. Hii kampuni ilikumbwa na nini wadau?
View attachment 1718039
View attachment 1718041
View attachment 1718043
Boss kafariki na watoto wameshindwa kuendeleza ndio mwisho wa kampuni hapoNaambiwa hizi gari zimepaki tu hapo mjini Moshi, yaani ni kama ziko juu ya mawe kwa mujibu wa mdau mmoja aliyekuwa huko Moshi. Hii kampuni ilikumbwa na nini wadau?
View attachment 1718039
View attachment 1718041
View attachment 1718043