Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,693
- 45,006
Naambiwa hizi gari zimepaki tu hapo mjini Moshi, yaani ni kama ziko juu ya mawe kwa mujibu wa mdau mmoja aliyekuwa huko Moshi. Hii kampuni ilikumbwa na nini wadau?
Morogoro wa uchumi=mgogoro wa uchumi.Kodi kubwa, faini za mizani, tozo mbalimbali, matamko na hatimae Morogoro wa Uchumi nawaza kwa sauti tu
Ngirika baada ya kufa mmiliki( mzee Mberesero) watoto waligawala hizo mali ndo unaona akina Osaka, Kimotco etc
Hayo nadhan ni yale yaliyochoka hayawezi safari ndefu ....mabovuKampuni ipo mkuu sema mzee alivyofariki watoto waligawana magari,kila mtu akaandika jina alipendalo like Osaka,safar express,kimotco na mengine nmesahau japo sijajua kwann hayo hapo moshi yamepaki
Hayo nadhan ni yale yaliyochoka hayawezi safari ndefu ....mabovuKampuni ipo mkuu sema mzee alivyofariki watoto waligawana magari,kila mtu akaandika jina alipendalo like Osaka,safar express,kimotco na mengine nmesahau japo sijajua kwann hayo hapo moshi yamepaki
Huenda likawa jibu sahihi hili!!!SASA kuna wengine sijui wanawashwa kila kitu kulaumu serikali!Ngorika baada ya kufa mmiliki( mzee Mberesero) watoto waligawana hizo mali ndo unaona akina Osaka, Kimotco etc. So kampuni inaendelea kwa upande wa kampuni za watoto ila Ngorika kama Ngorika inaonekana kufa.
Hawakosekani kwenye familia hawabila shaka haya yaliyopaki apo yatakuwa ya ndugu mmoja talalila hlf hela hana
Mwanae ndio yule gaidi alikamatwa kenya .wamempiga maisha in prisonKampuni ipo mkuu sema mzee alivyofariki watoto waligawana magari,kila mtu akaandika jina alipendalo like Osaka,safar express,kimotco na mengine nmesahau japo sijajua kwann hayo hapo moshi yamepaki
bila shaka haya yaliyopaki apo yatakuwa ya ndugu mmoja talalila hlf hela hana
Hii hata mm ndo naijua ila sikufaham kampuni za watoto zaidi ya Kimotco na Osaka.kampuni ipo kwa majina ya watoto
sasa familia ya mberesero inaendelea kutamba kwa kupitia mabus ya watoto kama
freys
osacka raha
kaprikon
safari express
kimotco
huyu mzee kajitahid sana ,huu ukoo ni wa matajiri
Umejibu nje ya mada kabisa.Kuna siku nilishuhidia mubashara basi kati ya Ngorika au Buffalo liki overtake kwenye daraja la mto wami ambapo ni zaidi ya hatari na kinyume cha sheria.
Nikajiuliza na abiria walioko kwenye hilo basi wanajitambua kiasi gani mpaka kukubali mhuni kufanya attempt ya kutaka kuwaua?!
Kuna siku nilishuhidia mubashara basi kati ya Ngorika au Buffalo liki overtake kwenye daraja la mto wami ambapo ni zaidi ya hatari na kinyume cha sheria.
Nikajiuliza na abiria walioko kwenye hilo basi wanajitambua kiasi gani mpaka kukubali mhuni kufanya attempt ya kutaka kuwaua?!
Acha kuwa namawazo mgando ya kichadema chadema, nani atakayepanda hayo mangarangara body nyundo wakati kuna basi nyingi nzuri full ac.,!?Kodi kubwa, faini za mizani, tozo mbalimbali, matamko na hatimae Mgogoro wa Uchumi nawaza kwa sauti tu.
Mbereselo na kapriconKampuni ipo mkuu sema mzee alivyofariki watoto waligawana magari,kila mtu akaandika jina alipendalo like Osaka,safar express,kimotco na mengine nmesahau japo sijajua kwann hayo hapo moshi yamepaki