Kampuni ya mawasiliano ya TIGO ni hatari

Kampuni ya mawasiliano ya TIGO ni hatari

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2009
Posts
18,555
Reaction score
21,691
Habari,

Nilikopa tigo niwezeshe wiki mbili zilopita kiasi cha sh 300+.

Leo nimerushiwa sh 15000 kwa tigo pesa badala yake wao wamehamisha kiasi hicho na kuwa salio la kawaida ili wakate 345 wanayonidai.

Umepokea Tsh 15,000 kutoka kwa Wakala - #########, Salio lako jipya ni Tsh 15,946. Kumbukumbu no.: 191011.0722.C17276204676. 11/10/19 07:22.

Ndugu Mteja, kifurushi chako kimebadilishwa na kuwa salio la Tsh 15,000 ili kuweza kulipia mkopo wako wa Tigo Niwezeshe.


Ndugu Mteja, Tsh 345 imekatwa katika salio lako kulipa mkopo wa Tigo Niwezeshe uliochukua. Piga *149*49# kuangalia mkopo wako.

Bado najiuliza kama ingekuwa million moja bado wangefanya hivi?

Kulikuwa na ugumu gani kuondoka kiasi hicho kwenye tigo pesa bila kubadili kiasi chote kilichopo?
 
acha ujinga, we ulivokopa ulitegemea nn.? ingefaa wakupige ban kabisa.
 
Write your reply...tigo No live it No love it
 
Habari,

Nilikopa tigo niwezeshe wiki mbili zilopita kiasi cha sh 300+.

Leo nimerushiwa sh 15000 kwa tigo pesa badala yake wao wamehamisha kiasi hicho na kuwa salio la kawaida ili wakate 345 wanayonidai.








Bado najiuliza kama ingekuwa million moja bado wangefanya hivi?

Kulikuwa na ugumu gani kuondoka kiasi hicho kwenye tigo pesa bila kubadili kiasi chote kilichopo?
Kwa nini ukope na usilipe hadi siku yako ya kulipa ipite? Bakubongorola
 
Dawa ya deni ni kulipa????
Sasa ulitaka wakuachie

Ova
 
Tigo sasa hivi hamna ukikopa kifurushi ukiwa na salio Tigo pesa wanajikatia humo humo hakuna cha kujiunga juu Kwa juu kukwepa deni
 
Kwa nini ukope na usilipe hadi siku yako ya kulipa ipite? Bakubongorola
upo sahihi, lakini kumbuka hata wiki mbili hazijafika na mbaya zaidi sijawahi hata kupata msg ya kukumbushia deni na naweka hela simu naitumia sana kwenye internet hata kabla ya hili nimejiunga mara mbili
 
Tigo sasa hivi hamna ukikopa kifurushi ukiwa na salio Tigo pesa wanajikatia humo humo hakuna cha kujiunga juu Kwa juu kukwepa deni
mkuu naweza kukuwekea msg humu baada ya hii nilikuwa na sh 2900 na nimejiunga 1gb ya wiki mara mbili na msg sijafuta zinaonyesha hadi mda, kwa nini wasikate hiyo waje wakate elfu kimi na tano?
 
acha ujinga, we ulivokopa ulitegemea nn.? ingefaa wakupige ban kabisa.

Umepokea GB1 kwa 1000Tsh kwa Siku7. (VAT152.54Tsh, thamani yake 847.46 Tsh). Piga *102*00# kuangalia salio

kiufupi haijakukuta lakini kuamishiwa hela zako ziwe salio ndio utakuja kugundua,

achana na hilo hii ilikuwa ni August 8 Thursday na hapa nilikuwa na deni mbona hawakukata hili deni waka kulikuwa na karibia elfu mbili?
 
Back
Top Bottom