Nyamagondo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 648
- 765
Wachaga siku hizi wameshakua na majisifu kama watani zangu Wahaya, tena bora na Wahaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni creatures wa maendeleo
Mfano mosha alianza kuuza karanga hadi Leo ni bilionea
Mengi alianza kuuza biki Leo ni bilionea hiyo ni akili kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtazamo wako kila mtu hawez kufanya kitu afanikiwe kila mtu Ana akili yake ndio maana chuon kwenye baadhi ya kozi mnaanza 100 Ila mnao graduate ni 30 jiulize 70 wameenda wapikuna kitu nyuma yao usione hivyo , baharesa alikuwa anashona viatu leo bilionea wachaga wameshona viatu mimi bado mdogo mpaka leo hoi. kila tajiri kuna kitu nyuma yao
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kipi Cha uongo?Wachaga siku hizi wameshakua na majisifu kama watani zangu Wahaya, tena bora na Wahaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni maneno ya wavivu hayo mosha yupo kwenye biashara kabla hata huyo riz hajamaliza form. Four
Maneno ya vijitu vyenye wivu,mosha yupo kwenye chat tangu kabla hata huyo Ritz hajamaliza form fourMosha mtumishi wa Riz1 tuu katika hizo biashara hana lolote
Wana vijihela hao,hela za hao woote uliowataja hazifikii hata robo ya hela za bilionea shirima mmiliki wa precision airSasa kama ndiyo hivyo mbona wapo wengi tu walioanzia chini na leo wana pesa za kutosha tu kina Simeon Kissena kina Eric kina Lugumi Kina Kishimba Kina Ndegesera
Nijuavyo Kobil ni kampuni ya Kenya na huyo itakuwa ni wakala (franchise)
Wana vijihela hao,hela za hao woote uliowataja hazifikii hata robo ya hela za bilionea shirima mmiliki wa precision air
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana hela hão mkuuMkuu unaweza kuthibitisha kwa uhakika zaidi
sha wake moshaWe mbona umekaa kama unapigwa ndizi
Haka kabibi bwana kamezoea kufanya auto correct mada za mambo mazito tuachie wajukuu ona sasa umeandika nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli hata kile kilichokuwepo pembeni ya soko la mitumba boma muda mrefu sana kimenunuliwa na Puma
Ni kweli hata kile kilichokuwepo pembeni ya soko la mitumba boma muda mrefu sana kimenunuliwa na Puma
Watu wanaokoteza taarifa kwenye vijiwe vya kahawa na pool table wanaleta humu shida sana.Mkuu hakuna kitu kama kuwa na meli ya kuagiza mafuta Nje. Mfumo wa uagizaji mafuta ulibadilishwa kisheria zaidi ya miaka saba iliyopita. Sasa hivi kuna bulk procurement. Inatangazwa tenda nafikiri kila baada ya miezi mitano. Mzabuni akishinda anaagiza mafuta na wengine wote wenye makampuni ya mafuta wanachukua hapo.
Ukiangalia kibiashara hakuna faida yeyote ya kuwa na meli ya mafuta, na infact wafanyabiashara wa ndani hata kabla ya sheria hiyo hakuna aliyekuwa na meli ya kubeba mafuta na sababu yake ni kuwa haina maana kuwa na meli ya kubeba mafuta wakati huko unakoagiza kuna meli za mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria za nchi haziruhusu mtu binafsi kuagiza mafuta kwa njia hiyo sasa hivi wanatumia bulk procurementNimesoma andiko lako kwa umakini nimejikuta nikicheka tena kicheko cha Kinafiki, Sababu ni andiko la kifikirika na la kubuni buni tu kutokana na picha iliyo mbele ya macho yako ukaamua kutubandikia haps mbele yetu. Kwa ufupi ukitaka kujua mmiliki wa kampuni fulani basi unaenda Brella na kujua ni nani mmiliki wz kampuni hiyo. Uwekezaji wa kampuni unaweza kufanywa na mtu yeyote kwa njia yeyote. Mfano Diamond karanga wamiliki wake ni waarabu wapo UAE lakini wametoa trademark kwa Naseeb na wawekezaji wenzake ili waendeshe kwa soko la Tanzania. Kwa kitupi Delina General limited ni wamiliki wa Kobil Tanzania na Kobil Congo. Delina wameamua kupanuabiashara zake kutoka kwenye uhifadhi na uuzaji kwa Tanzania na kuwa Wasambazaji wa Mafuta. Mmiliki wa Delins General Limited Davis Mosha kaagiza Meli kwa ajili ya Kuleta Mafuta Tanzania. Meli yake mwenyewe soon itatua Bongo. Na pia Congo anamiliki kisima kikubwa cha mafuta zaidi ya kile cha kigamboni.
Cha kujua tu ni kuwa "Unaweza kupewa Daladala uendeshe ila kadi ya gari anayo mmiliki wa gari"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna muuza mafuta hapo Puma (zamani Kobil) ana chuch konziHata cha karibu na mlimani city nacho wamechukua puma