Kampuni ya mafuta ya Davis Mosha, Kobil Oil imeuzwa rasmi

101 East

JF-Expert Member
Feb 25, 2015
1,040
2,120
Kampuni ya mafuta Kobil oil Tanzania limited iliyokuwa inamilikiwa na Kilimanjaro oil Tanzania limited subsidiary company ya Delina general enterprises Tanzania limited inayomilikiwa na Davis Mosha imeuzwa rasmi kwa kampuni ya world oil Tanzania limited.

Uuzwaji huo umehusisha bohari kuu(oil deport) ya mafuta iliyopo wilayani Kigamboni jijini Dar es Salaam pamoja na jengo la Head office zilizokuwapo katika eneo hilo Ingawa

Haijafahamika Kama Delina General Enterprises Tanzania Lmited wameuza mpaka vituo vyao vya reja reja au la hata hivyo miaka ya hivi karibuni bohari hiyo ya mafuta ilikuwa na utendaji wa kusuasua huku vituo vingi vya mafuta vya kampuni hiyo vikiwa katika Hali mbaya sana ya kimazingira na kibishara

Sehemu mbalimbali hapa nchini Kuuzwa kwa KOBIL, Ni mwanzo wa mfanyabiashara Davis mosha kuachana na biashara ya mafuta?

Kobil-Logo.jpeg
images%20(1).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya mafuta kobil oil Tanzania limited iliyokuwa inamilikiwa na Kilimanjaro oil Tanzania limited subsidiary company ya delina general enterprises Tanzania limited inayomilikiwa na Davis mosha imeuzwa rasmi kwa kampuni ya world oil Tanzania limited.uuzwaji huo umehusisha bohari kuu(oil deport) ya mafuta iliyopo wilayani kigamboni jijini Dar es Salaam pamoja na jengo la Head office zilizokuwapo katika eneo hilo
Ingawa haijafahamika Kama delina general enterprises Tanzania limited wameuza mpaka vituo vyao vya reja reja au la hata hivyo miaka ya hivi karibuni bohari hiyo ya mafuta ilikuwa na utendaji wa kusuasua huku vituo vingi vya mafuta vya kampuni hiyo vikiwa katika Hali mbaya sana ya kimazingira na kibishara h sehemu mbalimbali hapa nchini
Kuuzwa kwa KOBIL je Ni mwanzo wa mfanyabiashara Davis mosha kuachana na biashara ya mafutaView attachment 1010964View attachment 1010965View attachment 1010967View attachment 1010969

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio haijauzwa bali mkataba umeisha kobil wamesepa mwenye depo ambaye ni world oil kaamua kuchukua eneo lake maana alikua amewakodiahia hao kobil

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nijuavyo Kobil ni kampuni ya Kenya na huyo itakuwa ni wakala (franchise).
Ajabu watu wanaropoka tu Yaaani yule TP mosha anamiliki kobil wanaelewa lkn kumiliki kampuni ya mafuta. Inshort Davis mosha alitambulishwa kwa marehem Nicholas biwott na mama Anna na hapo biwwot akawekeza tz na pia kenye kwa kumtumia Davis ili afiche identity yako since biwott ni mwanasiasa. Sasa hapo Davis akaanza mashauzi kule kenya kila akienda board meeting anajifanya jeuri na kiburi kumbe wakenya wanamchora tu. Siku biwott anafariki Davis akapigwa marufuku kukanyaga ktk board meeting na habar yake umeisha hapo. Ama kuhusu hio deport jamaa alikuwa na reserve ya mafuta tu ltr kama laki 7 ndio aliambiwa atoe haraka akabidhi kwa world oil.

Angalia ukweli kuhusu hili la biwott ndio ujue mosha alikuwa zuga tu.

Biwott’s family to pocket billions in KenolKobil buyout : The Standard

Biwott’s family to pocket billions in KenolKobil buyout

The family of former Cabinet minister Nicholas Biwott is set for a major windfall in a planned Sh35.6 billion buyout deal of KenolKobil by a French firm.
But the Capital Markets Authority late yesterday put a damper on the planned deal after in froze accounts suspected of insider trading, pending investigations.


“Through its market surveillance the authority identified potentially irregular trading of the KenolKobil counter in the run up to the issue of the Notice of Intention by Rubis Énergie,” said the regulator in a statement.


KenolKobil in a deal announced earlier is poised to be acquired by French firm Rubis Energie in the deal to be completed by March 2019.
The oil marketer is majority owned by the Biwott family. Mr Biwott, while serving as minister for Energy during the Moi era, acquired the assets of Mobil when it left the Kenyan market through Kobil, which later merged with Kenol.
Rubis Energie said it had completed the acquisition of a 24.99 per cent stake from KenolKobil’s largest shareholder – Wells Petroleum Holdings – and has made a bid to acquire the remaining 75.01 per cent stake from the other shareholders.


The completion of the transaction will see the company delist from the Nairobi Securities Exchange (NSE), adding to the number of companies that have left the bourse in recent years.


The firm has offered to buy Kobil’s shares at Sh23, a premium over the Sh15.30 that the share was trading at on Tuesday, but which rose substantially yesterday and at some point touched a historical high of Sh21.75


The Frenchmen said they had received a commitment for the sale of shares from some of the key shareholders, including the current chief executive, David Ohana.
Rubis Energie acquired a stake of 24.99 per cent in KenolKobil. That transaction was completed yesterday and after that, the board of Rubis met and decided that they will launch a takeover of the remaining shares. This morning we served on the firm the intention to take over the company,” said Paras Shah, a partner at Bowmans Law, the lead legal adviser in the transaction.


Regional footing
The price at which Rubis has offered to buy these shares is Sh23, a significant premium on the trading price in the last few days. It is going to be the largest takeover deal in Kenya… the transaction value is in the region of Sh35 billion.”


With a 24.99 per cent stake, Wells Petroleum, together with Petro Holdings (12.91 per cent), and a few other shareholders control more than 60 per cent of KenolKobil. Retail shareholders have a 35 per cent stake. Christian Cochet, the chief executive of Rubis Energie, said the acquisition would give the company a footing in the region, where it currently lacks a presence.


It has operations in Europe, the Caribbean and parts of Africa. Mr Cochet said Rubis planned to grow the oil marketer’s operations generically but also said he was open to more acquisitions. The exit of major shareholders has been a subject of speculation for some time now, especially following the 2012 failed takeover bid by Swiss firm Puma Energy.


The successful sale of the company would mean that the KenolKobil brand will disappear in the coming months and in its place will be Rubis.


It will also mean that the retail petroleum space will be dominated by foreign firms.
 
AlhamduliLlah, tena kawa kukujuza zaidi Mobil ni American Company iliyokuwa na ubia na Kenol ya Kenya.

Sasa kama unafahamu maana ya "franchise" utanielewa. Na mtu wa kwanza kuileta Kobil Tanzania nadhani alikuwa Songoro. Mengine mtajaza wenyewe.
Mara Mobil Mara kobil
Sisi tunazungumzia kobil sio mobil acha ushamba Bibi ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajabu watu wanaropoka tu Yaaani yule TP mosha anamiliki kobil wanaelewa lkn kumiliki kampuni ya mafuta. Inshort Davis mosha alitambulishwa kwa marehem Nicholas biwott na mama Anna na hapo biwwot akawekeza tz na pia kenye kwa kumtumia Davis ili afiche identity yako since biwott ni mwanasiasa. Sasa hapo Davis akaanza mashauzi kule kenya kila akienda board meeting anajifanya jeuri na kiburi kumbe wakenya wanamchora tu. Siku biwott anafariki Davis akapigwa marufuku kukanyaga ktk board meeting na habar yake umeisha hapo. Ama kuhusu hio deport jamaa alikuwa na reserve ya mafuta tu ltr kama laki 7 ndio aliambiwa atoe haraka akabidhi kwa world oil.
Wote hamjui kitu hiyo kobil ni Mali ya mosha ingekuwa ya mkenya magari yangekuwa na plate namba za tz? Vijitu vina chuki na wachaga hatar
Mosha ni miongon mwa ma bilionea tz kwahiyo Hana héla? Acha uzwazwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya mafuta kobil oil Tanzania limited iliyokuwa inamilikiwa na Kilimanjaro oil Tanzania limited subsidiary company ya delina general enterprises Tanzania limited inayomilikiwa na Davis mosha imeuzwa rasmi kwa kampuni ya world oil Tanzania limited.uuzwaji huo umehusisha bohari kuu(oil deport) ya mafuta iliyopo wilayani kigamboni jijini Dar es Salaam pamoja na jengo la Head office zilizokuwapo katika eneo hilo
Ingawa haijafahamika Kama delina general enterprises Tanzania limited wameuza mpaka vituo vyao vya reja reja au la hata hivyo miaka ya hivi karibuni bohari hiyo ya mafuta ilikuwa na utendaji wa kusuasua huku vituo vingi vya mafuta vya kampuni hiyo vikiwa katika Hali mbaya sana ya kimazingira na kibishara h sehemu mbalimbali hapa nchini
Kuuzwa kwa KOBIL je Ni mwanzo wa mfanyabiashara Davis mosha kuachana na biashara ya mafutaView attachment 1010964View attachment 1010965View attachment 1010967View attachment 1010969

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa mfumo mzima wa kiuchumi Tanzania SIO rafiki kwa wajasriamali na wawekezaji pia kwa kisingizio cha wakwepa kodi, mafisadi, wapigaji mwisho tutapoteza hata mitaji KITAIFA
 
Devi's Mosha baada ya Kobil kuondoka walimuachia depot muda wa pango ulikuwa haujakwisha baada ya muda kwisha W Oil wamechukua depot yao.ila Devi's Mosha ana hari mbaya sana kiuchumi anadaiwa mishahara na wafanyakazi wake zaidi ya miezi 4 kiufupi ameyumba sana
 
Back
Top Bottom