platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,373
- 11,178
Biwott katika Serikali ya Moi ndiye aliyekuwa 'kitchen Minister', alikuwa hapigi sana kelele lakini alikuwa na nguvu kupindukia! Almaarufu total man.Siyo kujipanga,siasa baba.Alikuwa mwanasiasa mwenye nguvu na kuogopwa enzi za baba Moi.
Ameanza kumiliki Kobil nafikiri hata Davis Mosha alikuwa hajaingia mjini!
Sent using Jamii Forums mobile app