Kampuni ya mafuta ya Davis Mosha, Kobil Oil imeuzwa rasmi

Nimesoma andiko lako kwa umakini nimejikuta nikicheka tena kicheko cha Kinafiki, Sababu ni andiko la kifikirika na la kubuni buni tu kutokana na picha iliyo mbele ya macho yako ukaamua kutubandikia haps mbele yetu. Kwa ufupi ukitaka kujua mmiliki wa kampuni fulani basi unaenda Brella na kujua ni nani mmiliki wz kampuni hiyo. Uwekezaji wa kampuni unaweza kufanywa na mtu yeyote kwa njia yeyote. Mfano Diamond karanga wamiliki wake ni waarabu wapo UAE lakini wametoa trademark kwa Naseeb na wawekezaji wenzake ili waendeshe kwa soko la Tanzania. Kwa kitupi Delina General limited ni wamiliki wa Kobil Tanzania na Kobil Congo. Delina wameamua kupanuabiashara zake kutoka kwenye uhifadhi na uuzaji kwa Tanzania na kuwa Wasambazaji wa Mafuta. Mmiliki wa Delins General Limited Davis Mosha kaagiza Meli kwa ajili ya Kuleta Mafuta Tanzania. Meli yake mwenyewe soon itatua Bongo. Na pia Congo anamiliki kisima kikubwa cha mafuta zaidi ya kile cha kigamboni.

Cha kujua tu ni kuwa "Unaweza kupewa Daladala uendeshe ila kadi ya gari anayo mmiliki wa gari"

Sent using Jamii Forums mobile app

Hayo mambo ya kila mtu kuingiza mafuta yake yameisha miaka mingi sasa. Mafuta yananunuliwa kwa pamoja mkuu
 
Biwott katika Serikali ya Moi ndiye aliyekuwa 'kitchen Minister', alikuwa hapigi sana kelele lakini alikuwa na nguvu kupindukia! Almaarufu total man.

Ameanza kumiliki Kobil nafikiri hata Davis Mosha alikuwa hajaingia mjini!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema toka Mosha akiwa utingo wa magari ya kubeba mafuta wakati huo alikuwa anafanya kazi ya ukonda pale kituo cha mafuta Kibaha .kile kituo kilikuwa kinaitwa puma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna raha kama hujamuona FaizaFoxy?

Bado hujajibu swali langu umesema kuwa Kampuni ya Kobil ni ya Kenya kwakuwa imeanza tu na herufi K hivyo nami sasa nakuuliza je Kampuni ya Total kama tukiangalia herufi za mwanzo unadhani inatokea nchini gani? Nipo na wewe hadi unipe jibu la kuridhika.
 
Bado hujajibu swali langu umesema kuwa Kampuni ya Kobil ni ya Kenya kwakuwa imeanza tu na herufi K hivyo nami sasa nakuuliza je Kampuni ya Total kama tukiangalia herufi za mwanzo unadhani inatokea nchini gani? Nipo na wewe hadi unipe jibu la kuridhika.
Hayo ya herufi ni yako wewe. Wapi nimesema hayo?

Kwanini mnapenda kusema uongo? Ndivyo mlivyofundishwa na wazazi wenu?

Pitia uzi Jisome vizuri, ni wa ngapi waliosema hiyo kampuni ya Kenya? Au unachosoma hukielewi?
 
Hayo ya herufi ni yako wewe. Wapi nimesema hayo?

Kwanini mnapenda kusema uongo? Ndivyo mlivyofundishwa na wazazi wenu?

Pitia uzi Jisome vizuri, ni wa ngapi waliosema hiyo kampuni ya Kenya? Au unachosoma hukielewi?

Dada kama siyo Bibi mbona una maneno mengi hivi? Bado nakuuliza je Kampuni hiyo ya Total ni ya nchi gani kama tukianza kuangalia herufi za Kwanza kama ambavyo tumeangalia katika Kampuni ya Kobil ambayo umesema ni ya Kenya? Nasubiri jibu langu Bibi.
 
Niyajuayo Mengi sana hata kuyafikiria hujawahi. Kumbuka ewe punguani.

Sawa pamoja na upunguani wangu bado nakuuliza Bibi yangu kama Kampuni ya Kobil ni ya Kenya kwakuwa imeanza na herufi K kama ulivyosema je Kampuni ya Total tukiendelea hivyo hivyo kuangalia herufi ya mwanzo itakuwa ni ya wapi? Nasubiri jibu langu Bibi.
 
AlhamduliLlah, tena kwa kukujuza zaidi Kobil ni American Company iliyokuwa na ubia na Kenol ya Kenya.

Sasa kama unafahamu maana ya "franchise" utanielewa. Na mtu wa kwanza kuileta Kobil Tanzania nadhani alikuwa Songoro. Mengine mtajaza wenyewe.
shikamoo... wacha nikuamkie kwakuwa unamaliza degree ya uhandisi nipo darasa la 2
 
Dada kama siyo Bibi mbona una maneno mengi hivi? Bado nakuuliza je Kampuni hiyo ya Total ni ya nchi gani kama tukianza kuangalia herufi za Kwanza kama ambavyo tumeangalia katika Kampuni ya Kobil ambayo umesema ni ya Kenya? Nasubiri jibu langu Bibi.
Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako.

Mwenyewe ndiyo umeona una hoja ya maana kweli!

Watu tunawafahamu Compagnie Francaise des Petroles, sidhani kama umewasikianhao toka uzaliwe.

Nenda kafanye homework.

Sasa nnaamini Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda kwa watu wa sampuli yako.
 
Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako.

Mwenyewe ndiyo umeona una hoja ya maana kweli!

Watu tunawafahamu Compagnie Francaise des Petroles, sidhani kama umewasikianhao toka uzaliwe.

Nenda kafanye homework.

Sasa nnaamini Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda kwa watu wa sampuli yako.

Bibi Kampuni ya Total ni ya nchi gani? Mbona unazunguka sana na linakushinda?
 
Devi's Mosha ana Mkenya mmoja anaitwa SAILAS ananyanyasa sana Wafanyakazi nasikia anasema Mosha kaishika serikali hakuna Mtanzania wa kumfanya kitu.nawashangaa hawa watu wa uhamiaji nasikia nao wanamuogopa Mosha huyo Mkenya hana kibari chochote nasikia
 
Wote hamjui kitu hiyo kobil ni Mali ya mosha ingekuwa ya mkenya magari yangekuwa na plate namba za tz? Vijitu vina chuki na wachaga hatar
Mosha ni miongon mwa ma bilionea tz kwahiyo Hana héla? Acha uzwazwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa una uelewa mdogo sana bora some time unyamaze. so kampuni ikiwa ya akenya lazima Magari yawe ya Wakenya. si ndio?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni ubishi usio na maana! Kwa Afrika Mashariki, Kobil asili yake ni Kenya! Zamani ilikuwa inaitwa Kobil Petroleum Limited (nadhani ilikuwa ni US company). Hawa Kobil Petroleum Limited wakaingia ubia na Kenya Oil Company Limited kwa kifupi Kenol na wakaunda kampuni iliyoitwa KenolKobil ambayo HQ ni Nairobi!!

Kobil Tanzania ilikuwa ni subsidiary ya KenolKobil Kenya lakini mwaka 2016 walitangaza kuachana na soko la Tanzania pamoja na DRC! Tena walitaka kusepa since 2012 na kuchukuliwa na Puma; sasa kilitokea nini hapa katikati, wanajua wenyewe! So, NADHANI wakati wanaingia Tanzania, huyo Mosha alikuwa ni mmoja wa wabia wao na walipoamua kusepa, ndipo Mosha akaamua kuinunua rasmi Kobil Tanzania kupitia kampuni yake ya Kilimanjaro Oil Limited.
Umeeleza vyema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AlhamduliLlah, tena kwa kukujuza zaidi Kobil ni American Company iliyokuwa na ubia na Kenol ya Kenya.

Sasa kama unafahamu maana ya "franchise" utanielewa. Na mtu wa kwanza kuileta Kobil Tanzania nadhani alikuwa Songoro. Mengine mtajaza wenyewe.
Sawa ni ustaadh songoro .

Nadhani utakuwq umeridhika sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom