Mkurya mweupe
JF-Expert Member
- Aug 10, 2023
- 250
- 830
Wadau wa JF ,naomba mnisaidie ni hatua gani za kufata kuweza kusajili na kumiliki kampuni ya mikopo ,pia ni gharama kiasi gani zinahitajika mpaka kukamilisha kabisa usajili wake .....
Hatua ya kwanza ni kusajili kampuni BRELA. Mkurya mweupe Kampuni ya mikopo ina masharti ya kufuata ikiwemo jina la kampuni lazima liwe na "finance" au "Microfinance" au "financial services", au "credit"....Wadau wa JF ,naomba mnisaidie ni hatua gani za kufata kuweza kusajili na kumiliki kampuni ya mikopo
Gharama kiasi gani... Hamna hamna angalau 3 million kwa ajili ya BRELA, muhuri wa Mwanasheria, TRA, photocopies, mihutasari ya vikao vya Bodi, forms za board members......,pia ni gharama kiasi gani zinahitajika mpaka kukamilisha kabisa usajili wake .....
Waweza kuulizaAsante sana
Huu mlolongo labda mtaji uwe na million 100Hatua ya kwanza ni kusajili kampuni BRELA. Mkurya mweupe Kampuni ya mikopo ina masharti ya kufuata ikiwemo jina la kampuni lazima liwe na "finance" au "Microfinance" au "financial services", au "credit"....
Ukishamaliza kusajili kampuni, hatua ya pili ni kuomba leseni ya Biashara ya mikopo kutoka Benki Kuu. Benki Kuu ina matawi kwenye Kanda, hivyo utaombea kwenye kanda iliyo karibu nawe. Lakini kabla hujaenda Benki Kuu lazima uwe na tax clearance... Kuna attachment kama 10+
Gharama kiasi gani... Hamna hamna angalau 3 million kwa ajili ya BRELA, muhuri wa Mwanasheria, TRA, photocopies, mihutasari ya vikao vya Bodi, forms za board members......
Hongera sana, fikra ni hatua ya kwanza kuelekea kwenye mafanikio.
Mimi nabook wa pili kabisaUkishasajili mteja wa awali nipo
Kukopa sherehe kulipa matanga 😁
😂😂 Alfajiri ya kupendezaKukopa sherehe kulipa matanga 😁
Kampuni ni lazima iwe na Bodi. Bodi inaweza kuwa ya watu 4 tu; wewe ukiwa mmoja wao.Huu mlolongo labda mtaji uwe na million 100
Hadi uwe na bodi
Mkuu board member wa kampuni huwa ni lazima wawe wataamu wa hio kazi ya kampuni?Kampuni ni lazima iwe na Bodi. Bodi inaweza kuwa ya watu 4 tu; wewe ukiwa mmoja wao.
Hapana, si lazima uwe na kiasi hicho cha Mtaji, usitishike!
Ni lazima mmoja wao awe Engineer au Technician. Si lazima awe Board Member, anaweza kuwa mwajiriwa. Cha msingi lazima uwe na CV ya MtaalamMkuu board member wa kampuni huwa ni lazima wawe wataamu wa hio kazi ya kampuni?
Kwa mfano kampuni ya ujenzi ni lazima wawe mafundi au wahandasi?
kwanza utatakiwa kuwa na jina la biashara au kampuni ambayo mwisho lazima iwe na finacial services,microfinance,micro credit na vitu kama hivyo.Wadau wa JF ,naomba mnisaidie ni hatua gani za kufata kuweza kusajili na kumiliki kampuni ya mikopo ,pia ni gharama kiasi gani zinahitajika mpaka kukamilisha kabisa usajili wake .....