The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Huyu jamaa anakwenda na kasi ya dunia.Huko tunakokwenda kila kitu kitakuwa kiganjani-digital world.so ameitime time kabla time haijamtime yeye
Hongera kwako Eric.
Sema ajira za masales man kwish kazi
na wale wenzangu ni mimi wa kurekebisha mitambo ya kichapishia kazi kwa heri.waliokiwa wana suply wino na makaratasi tutaonana kunako majariwa
Hii ndiyo habari ya mafundisho ya Mwl.Mwakasege ya MSIMU MPYA
Kama Una link ya Mwakasege kuhusu msimu mpya iweke please